Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,047
- 3,979
- Thread starter
- #39,181
Head Coach, Antonio Conte na great Captain, Jonh Terry.
Hakuna Viungo bora mzee kama Marco reus na mjerumani mwenzake wa Munich, nawakubali sana hawa watuHuyo Mbappe bei yake haishikiki sasa na yeye atakuja kuwa kama James
Alaba sidhani kama Bayern watamwachia
Godin hapana kazeekq
James yule bure kabisa
Reus kazeeka
Mario gotze vp naye?Huyo Mbappe bei yake haishikiki sasa na yeye atakuja kuwa kama James
Alaba sidhani kama Bayern watamwachia
Godin hapana kazeekq
James yule bure kabisa
Reus kazeeka
Mkuu kwa pale mbele mimi natamani Sanchez na Morata tu. Then tupate back-up kipa mzuri.Tukiwapata hawa itakuwa gudi sana:
1. Alvaro morata
2.James Rodriguez
3.Diego godin
4.alaba
5.kelvin gameiro
6.Marco reus
7. Mbappe
Thierry Henry end of season Awards
Club of season:Chelsea
Manager of season:Antonio Conte
Player of season:Eden Hazard
Game of season:Chelsea Vs Spurs(fa cup semi final)
Goal of season:Emre Can vs Watford
Suprise of season:Victor Moses perfomance
Unsung hero of season:Victor Wanyama
Signing of season:Sadio Mane
Young player of season:Leroy sane
Dissapointment of season:Manchester united out of top four
One to watch for next season:Gabriel Jesus
Kama ulikuwepo kwenye wazo langu. Mbele apatikane Sanchez.Mkuu kwa pale mbele mimi natamani Sanchez na Morata tu. Then tupate back-up kipa mzuri.
Kwa kweli mpaka sasa sijaona kama Lukaku amefikia vigezo vya striker tunaemtaka. Na sidhani kama Lukaku ni chaguo la Conte, japo yawezekana ni chaguo lake na anaona anaweze kumfanya bora.Kama ulikuwepo kwenye wazo langu. Mbele apatikane Sanchez.
Wakuu kwani Lukaku hana namna hapo?
Ahaa acha masiara kina Gabriel watakosa kwa nn?Duh siku ya leo imenipita hivhivi nikijiona...nimeweza kuangalia mechi ila sikupata fursa ya kuingia humu..picha hapa labda mpaka kesho tena na uchambuzi wa mechi yetu ya ubingwa wa FA.
Naanza kucheka mwenyewe nikifikiria Kolscieny na Gabriel wote nje halafu beki mkongwe Mertesacker ndo atapewa kibarua cha kuwazuia Pedro, Hazard na Costa.
Nacheka sana...
Ahaa acha masiara kina Gabriel watakosa kwa nn?
Kama ni hivyo basi tuweke matumaini ya kumpata Sanchez or MorataKwa kweli mpaka sasa sijaona kama Lukaku amefikia vigezo vya striker tunaemtaka. Na sidhani kama Lukaku ni chaguo la Conte, japo yawezekana ni chaguo lake na anaona anaweze kumfanya bora.