Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

2184.jpg
 
Mkuu Kituko hawa jamaa ninakochukua picha leo wamekuwa wazito mno kuziupload sijui nini kinachoendelea labda ndiyo UKATA wanajaribu kubana matumizi yao.
 
Shukrani Mkuu na hongereni sana kwa ubingwa wenu hasa ukitilia maanani performance yenu ya msimu uliopita ambapo kuna kipindi mlikuwa mnakaribia kuchungulia kaburi la kushuka daraja.

Ok kaka umesemeka najua wewe uko fast na fair kabisa, hope watafunguka tu, Karibu tushangilie ubingwa rasmi japo tulishauchukua tangu Conte alipotua Chelsea
 
Tukiwapata hawa itakuwa gudi sana:

1. Alvaro morata
2.James Rodriguez
3.Diego godin
4.alaba
5.kelvin gameiro
6.Marco reus
7. Mbappe



Huyo Mbappe bei yake haishikiki sasa na yeye atakuja kuwa kama James
Alaba sidhani kama Bayern watamwachia
Godin hapana kazeekq
James yule bure kabisa
Reus kazeeka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom