Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nani alijua marcos alonso atakuwa star ndani ya team
Nani alijua Moses atakuja kuwa mchezaji muhimu ndani ya team
Nani alijua ubora wa Ng'olo kante kwamba atafiti katika team ya chelsea
Maana yangu ni kwamba conte sio muumini wa majina wala muumini wa kununua wachezaji wa bei gali bali anaweza kununua mchezaji kama atahisi huyu anamfaa katika mfumo wake
Kama ni star na anauzwa gali na anaona atamfaa kwenye mfumo wake atamnunua pia
So muhimu tunahitaji mabeki 2
Kiungo mchezeshaji mmoja na washambuliaji wawili bila kusahau kiungo wa kukaba na kipa wa viwango wa kumsaidia bwana mdogo pale
tunahitaji mshambuliaji mmoja tu kwa nafasi nyingine ulizozieleza mahitaji ni sahihi.
Nimesema hivyo tunahitaji mshambuliaji mmoja kutokana aina ya mfumo wetu ambao hautegemei moja kwa moja mainstrike kufunga sana mfumo wetu unategemea winger kufunga
 
Mchezaji wa Chelsea aliyekuwa akicheza kwa mkopo katika club ya Juventus, Juan Cuadrado amesaini mkataba wa kudumu na club hiyo.

Club ya Juventus imedhibitisha hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter, na kusema Cuadrado amesaini mkataba wa kudumu na Juventus mpaka 2020.

Screenshot_2017-05-23-09-15-46-1.png
 
Mchezaji wa Chelsea aliyekuwa akicheza kwa mkopo katika club ya Juventus, Juan Cuadrado amesaini mkataba wa kudumu na club hiyo.

Club ya Juventus imedhibitisha hayo kupitia ukurasa wake wa Twitter, na kusema Cuadrado amesaini mkataba wa kudumu na Juventus mpaka 2020.

View attachment 513115
Nafikiri angekutana na conte asingeenda kwa mkopo juve jamaa ni bonge la mchezaji nafikiri mifumo ya makocha aliowakuta chelsea imemfanya aonekane hana thamani ndani ya chelsea
Juve anafanya poa sana
Hongera kwake
 
Nafikiri angekutana na conte asingeenda kwa mkopo juve jamaa ni bonge la mchezaji nafikiri mifumo ya makocha aliowakuta chelsea imemfanya aonekane hana thamani ndani ya chelsea
Juve anafanya poa sana
Hongera kwake
Alikutana nae Mkuu, walikuwa wote pre-season ya msimu huu. Nafasi yake Conte alisema ni wing-back ambapo anacheza Moses

Nadhani ndio maana waliamua kumtoa kwa mkopo.
 
Mchezaji wa Chelsea, golikipa namba tatu Eduardo amesaini mkataba mpya na Chelsea ambao utamuweka Klabuni hapo kwa msimu mmoja zaidi.

Golikipa huyo raia wa Ureno, akiongea na website ya Klabu baada ya kusaini mkataba huo amesema "Ninafuraha sana kukaa na Chelsea kwa mwaka mmoja zaidi. Msimu huu umekuwa wa mafanikio sana klabuni hapa, na kila mmoja amenifanya kujisikia sehemu ya familia hii. Nina matumaini msimu ujao utakuwa chanya na kuweza kushinda mataji zaidi".

new-deal-for-eduardo.img.png
 
tunahitaji mshambuliaji mmoja tu kwa nafasi nyingine ulizozieleza mahitaji ni sahihi.
Nimesema hivyo tunahitaji mshambuliaji mmoja kutokana aina ya mfumo wetu ambao hautegemei moja kwa moja mainstrike kufunga sana mfumo wetu unategemea winger kufunga
Hapo dogo mbappe wa monaco anatufaa
Japokuwa madrid washaanza unafiki
 
Tunataka washambuliaji wenye uzoefu sio ili mradi mshambuliaji ndio maana nawataka sana Adrea belote na alvaro morata
 
Mchezaji wa Chelsea aliyekuwa akicheza kwa mkopo katika Klabu ya Newcastle UTD, Christian Atsu leo hii amekamilisha usajili wa kudumu wa miaka minne na Klabu hiyo.

Newcastle UTD wakithibitisha kumsajili huko Atsu kupitia website yao na ukurasa wao wa mtandao wa Twitter wamesema hela ya usajili wa Atsu haijatajwa.

Screenshot_2017-05-24-18-31-47-1.png


christian-atsu-arrives-stadium.jpg
 
Naona ndio mtu pekee mwenye madhara leo. Mabeki wa UTD hawawezi kabisa kasi yake.

Cc: herera


Ila dogo ame-mature..hii dribbling hakuwa nayo kabla!

Ila hapo ndo unapomkubali Mourinho aisee...sio kwa basi hili analolipaki..mpaka half time Valencia kapanda mara moja tu! Mata utadhani ni central defender. Asipofanya hivyo ataumia lakini so ni sawa tu, mbinu yoyote alimradi ushindi!!!
 
Sasa mkuu Mentor shida inakuja pale ambapo Chelsea hawawezi kumuamini kama Striker wao. Na hata wakisema atokee pembeni hakuna nafasi yake yaani. Hivyo akirudi anaishia kukaa benchi tu.

Sijui tumfanyaje huyu dogo aisee ila ni bonge la kifaa sana.
 
Ila dogo ame-mature..hii dribbling hakuwa nayo kabla!

Ila hapo ndo unapomkubali Mourinho aisee...sio kwa basi hili analolipaki..mpaka half time Valencia kapanda mara moja tu! Mata utadhani ni central defender. Asipofanya hivyo ataumia lakini so ni sawa tu, mbinu yoyote alimradi ushindi!!!
Huyo ndo Mourinho kaka, Mikhy anakaa kama namba tatu, Mata kama center half. Na hapo bado utaona akina Carrick na Fuso-Mensah au Jones anaingia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom