Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

namuona Mourinho ata badili mfumo atajarib kuweka mabeki watatu
Ktk XI akipanga mabeki watatu itawasaidia ingawa shida itakuja kua hao wachezaji wenu watadumu ktk nidhamu ya huo mfumo ktk dk 90 zote?

Ila kuweni makini sn kunaweza kukawa na red card tena kesho maana presha iko juu sn hasa kwenu nyie Utd.
 
Ktk XI akipanga mabeki watatu itawasaidia ingawa shida itakuja kua hao wachezaji wenu watadumu ktk nidhamu ya huo mfumo ktk dk 90 zote?

Ila kuweni makini sn kunaweza kukawa na red card tena kesho maana presha iko juu sn hasa kwenu nyie Utd.
yaan kesho mkitufunga game ya 3 mfululizo naandamana asee.

ubaya ule mfumo unatakiwa accuracy na sisi hatuna hiyo, nyie wenzetu hata mkipiga counter zinajib ila siye tuna kosa sana magoli, mfumo huo una tuasababishia 0- 0 zaid zaid
 
yaan kesho mkitufunga game ya 3 mfululizo naandamana asee.

ubaya ule mfumo unatakiwa accuracy na sisi hatuna hiyo, nyie wenzetu hata mkipiga counter zinajib ila siye tuna kosa sana magoli, mfumo huo una tuasababishia 0- 0 zaid zaid
Umeona eeeeh???

Hiyo ndio shida mkuu. Ila nahisi Mourinho hataweka mabeki watatu atarudi ktk mfumo wake aliouzoea.

Kwa team iliyoweza kutupiga goli la Counter ni Crystal Palace tu lile goli la Benteke Lkn team zingine zimeshindwa.

Ila Hazard na Willian au Pedro hao kesho waangalieni sn.
 
Duh ninapata jaribu la imani. Second half ya game yetu nitakuwa kanisani.
 
mmmh chelsea die fan maombi yatapanda kweli au mwili utakuwa kwenye maombi na mawazo yatakuwa ot


Sijui aisee. Ila nahitajika kwenda kanisani. Yani first half naiangalia vizuri kisha ile half time naenda bafuni napiga passport ya hatari...nikitoka naanza kujiandaa (kuvaa) kwa dakika kumi hivi then nasepa. I hope tutakuwa tushafunga magoli ya kutosha mpaka hapo.
 
Masaa hayasongi kabisa...

C9g9WN9XoAEy5-u.jpg
 
Niwatakie easter njema blues wote Leo ndio siku ambayo ule msemo hakuna mkate mgumu kwenye chai unaendelea kuwa kweli" kipigo tunachoenda kukiachilia Trafford ya zamani ,tuwe nao makini pengine tutazikosa hata salamu zao
 
Sijui aisee. Ila nahitajika kwenda kanisani. Yani first half naiangalia vizuri kisha ile half time naenda bafuni napiga passport ya hatari...nikitoka naanza kujiandaa (kuvaa) kwa dakika kumi hivi then nasepa. I hope tutakuwa tushafunga magoli ya kutosha mpaka hapo.
hudhuria kanisa mkuu maombi muhimu cha msingi tunahitaji maombi yako kwa the blues tuweze kuwatandika hawa jamaa
 
Jamani Jumatatu ya Pasaka nimeandaa hafla fupi nyumbani kwangu kwa ajili ya kumshukuru Mungu kwa mambo kadhaa aliyonitendea.

Kutakuwa na vinywaji vya aina mbalimbali na kuna mbuzi atachomwa na mtaalamu wa kuchoma nyama atakuja na jiko lake palepale.



*NB: Nawaomba popote pale mlipo mjitahidi kufuata mfano wa huyo jamaa aliyenifowadia hiyo sms, na nyie muandae hafla ya kumshukuru Mungu majumbani kwenu kwa mambo mbalimbali aliyowatendea. Mimi nikiwa na hela nitaandaa pia.*
 
Jamani Jumatatu ya Pasaka nimeandaa hafla fupi nyumbani kwangu kwa ajili ya kumshukuru Mungu kwa mambo kadhaa aliyonitendea.

Kutakuwa na vinywaji vya aina mbalimbali na kuna mbuzi atachomwa na mtaalamu wa kuchoma nyama atakuja na jiko lake palepale.



*NB: Nawaomba popote pale mlipo mjitahidi kufuata mfano wa huyo jamaa aliyenifowadia hiyo sms, na nyie muandae hafla ya kumshukuru Mungu majumbani kwenu kwa mambo mbalimbali aliyowatendea. Mimi nikiwa na hela nitaandaa pia.*
Nilianza kunyoosha nguo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom