Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yaan mkuu hat tusibishane maan hat tusiposhinda kesho......
Anayetufuata awez kushind mechi zote.
Mwaka huu lazima makwapa yet yacheke
ila mkuu mlikua mnaongoza mipoint kibao ...saiv 4 tu...huoni kengele ya hatari hio ...na umewaon totenham wanavocheza sasa hivi ...scoring sheet yao ni hatar ...more than 5 WIN...straight WIN
 
ila mkuu mlikua mnaongoza mipoint kibao ...saiv 4 tu...huoni kengele ya hatari hio ...na umewaon totenham wanavocheza sasa hivi ...scoring sheet yao ni hatar ...more than 5 WIN...straight WIN
Mkuu mbona sisi wenyew tulikuwa na 13 wins straight hau umeshasau af wametuzid gam moja kwa hiyo hata siogopi angekuwa man U o man city sawa...
Hawa wanatupa presha tu kwny ubingwa....
 
Nzuri mkuu...

Upo kaka?

Ndio tunapaswa kua makini natambua lkn mpk sasa sisi ndio tuko favoured kuchukua kombe na si team ingine.
kweli na mimi nilisema humu, msimu huu bingwa itakuwa tim yeyote ambayo uta ipita tot
so kama mki mantain you are favourates.

nipo mkuu, nilisha toaga povu wee kule man u now nimeamua nitulie tuu maana haisaidii
 
kweli na mimi nilisema humu, msimu huu bingwa itakuwa tim yeyote ambayo uta ipita tot
so kama mki mantain you are favourates.

nipo mkuu, nilisha toaga povu wee kule man u now nimeamua nitulie tuu maana haisaidii


Sahihi mkuu.

Mourinho anawafaa sana huyo kuna shida kidogo tu lkn mtakua pouwa
 
Sioni km kutakua na sare kesho. Mmoja lazima apoteze.

Mpk sasa sijui mtatumia approaching ipi kuisimamisha Chelsea?
mi ndo sijui nyie mtatumia approach ipi kutufunga.
ila kwakuwa siye huwa hatujui kumalizia kufunga itakuwa draw
1-1
 
mi ndo sijui nyie mtatumia approach ipi kutufunga.
ila kwakuwa siye huwa hatujui kumalizia kufunga itakuwa draw
1-1
Sisi kesho tutakuja na mfumo wetu ule ule pia Pedro ataanzia benchi na Wilian ataanza ktk XI

Tutacheza kulingana na ugumu na ulaini wa mchezo. Mchezo ukiwa mgumu tutabana na kuzuia ukiwa laini tutashambulia.
 
Sisi kesho tutakuja na mfumo wetu ule ule pia Pedro ataanzia benchi na Wilian ataanza ktk XI

Tutacheza kulingana na ugumu na ulaini wa mchezo. Mchezo ukiwa mgumu tutabana na kuzuia ukiwa laini tutashambulia.
namuona Mourinho ata badili mfumo atajarib kuweka mabeki watatu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom