RONAN47
Member
- Feb 3, 2014
- 99
- 74
Yaan mkuu hat tusibishane maan hat tusiposhinda kesho......
ndo hapo sasa mtakapojinyonga kwa matokeo ya kushangaza kesho
Anayetufuata awez kushind mechi zote.
Mwaka huu lazima makwapa yet yacheke

Yaan mkuu hat tusibishane maan hat tusiposhinda kesho......
ndo hapo sasa mtakapojinyonga kwa matokeo ya kushangaza kesho

Yaan mkuu hat tusibishane maan hat tusiposhinda kesho......
Anayetufuata awez kushind mechi zote.
Mwaka huu lazima makwapa yet yacheke![]()
![]()
![]()
![]()


ila mkuu mlikua mnaongoza mipoint kibao ...saiv 4 tu...huoni kengele ya hatari hio ...na umewaon totenham wanavocheza sasa hivi ...scoring sheet yao ni hatar ...more than 5 WIN...straight WINMkuu mbona sisi wenyew tulikuwa na 13 wins straight hau umeshasau af wametuzid gam moja kwa hiyo hata siogopi angekuwa man U o man city sawa...ila mkuu mlikua mnaongoza mipoint kibao ...saiv 4 tu...huoni kengele ya hatari hio ...na umewaon totenham wanavocheza sasa hivi ...scoring sheet yao ni hatar ...more than 5 WIN...straight WIN
Hhahahaha mkuu let us wait ila kwakwel bingwa ni mtihani mgumu bado sanaMkuu mbona sisi wenyew tulikuwa na 13 wins straight hau umeshasau af wametuzid gam moja kwa hiyo hata siogopi angekuwa man U o man city sawa...
Hawa wanatupa presha tu kwny ubingwa....
Afu usisahau kwamba Tottenham ana game na man u na Arsenal
acha kujitekenya na kucheka mwenyewe" ........ ubingwa mtihani mgumu kivp?Hhahahaha mkuu let us wait ila kwakwel bingwa ni mtihani mgumu bado sana
acha kujitekenya na kucheka mwenyewe" ........ ubingwa mtihani mgumu kivp?




jipeni moyowa totUbingwa wetu
Teh Teh Teh Teh Tehwa tot

hahahaTeh Teh Teh Teh Teh
Not as you think dude.
Kombe letu hili mkuu no matter what.....![]()
Nzuri mkuu...hahaha
za siku nyingi kaka,?
mnaweza kuchukua ila bado sana kuweni makini
Kesho niko OT mkuu niambie Utd na Mourinho mtafanya nini?hahaha
za siku nyingi kaka,?
mnaweza kuchukua ila bado sana kuweni makini
kweli na mimi nilisema humu, msimu huu bingwa itakuwa tim yeyote ambayo uta ipita totNzuri mkuu...
Upo kaka?
Ndio tunapaswa kua makini natambua lkn mpk sasa sisi ndio tuko favoured kuchukua kombe na si team ingine.

we wont win but, nyie pia hamta win, definately ni drawKesho niko OT mkuu niambie Utd na Mourinho mtafanya nini?
kweli na mimi nilisema humu, msimu huu bingwa itakuwa tim yeyote ambayo uta ipita tot
so kama mki mantain you are favourates.
nipo mkuu, nilisha toaga povu wee kule man u now nimeamua nitulie tuu maana haisaidii![]()
Sioni km kutakua na sare kesho. Mmoja lazima apoteze.we wont win but, nyie pia hamta win, definately ni draw
mi ndo sijui nyie mtatumia approach ipi kutufunga.Sioni km kutakua na sare kesho. Mmoja lazima apoteze.
Mpk sasa sijui mtatumia approaching ipi kuisimamisha Chelsea?
Sisi kesho tutakuja na mfumo wetu ule ule pia Pedro ataanzia benchi na Wilian ataanza ktk XImi ndo sijui nyie mtatumia approach ipi kutufunga.
ila kwakuwa siye huwa hatujui kumalizia kufunga itakuwa draw
1-1
namuona Mourinho ata badili mfumo atajarib kuweka mabeki watatuSisi kesho tutakuja na mfumo wetu ule ule pia Pedro ataanzia benchi na Wilian ataanza ktk XI
Tutacheza kulingana na ugumu na ulaini wa mchezo. Mchezo ukiwa mgumu tutabana na kuzuia ukiwa laini tutashambulia.