Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

hapa ndipo mahala pekee nikiingia naondoa stress zangu za kule kwetu arsenal not only that kuna kijana ananipa raha sana hapa kwa umahili aalionao katika wa kuzibiti DUARA KUBWA aisee ogopa uwa najikuta nacheka maaana uwa nalinganisha kamwili kake na shughuli anayoifanya aisee BANK isubiri sana heshima kwenu N.KANTE
 
hapa ndipo mahala pekee nikiingia naondoa stress zangu za kule kwetu arsenal not only that kuna kijana ananipa raha sana hapa kwa umahili aalionao katika wa kuzibiti DUARA KUBWA aisee ogopa uwa najikuta nacheka maaana uwa nalinganisha kamwili kake na shughuli anayoifanya aisee BANK isubiri sana heshima kwenu N.KANTE
naona umeamua utumie ile slogan ya "if you cant beat them, join them"
 
hapa ndipo mahala pekee nikiingia naondoa stress zangu za kule kwetu arsenal not only that kuna kijana ananipa raha sana hapa kwa umahili aalionao katika wa kuzibiti DUARA KUBWA aisee ogopa uwa najikuta nacheka maaana uwa nalinganisha kamwili kake na shughuli anayoifanya aisee BANK isubiri sana heshima kwenu N.KANTE
Kante ni wa nouma Sana mkuu
naona umeamua utumie ile slogan ya "if you cant beat them, join them"
herrera acha hizo bhana
 
naona umeamua utumie ile slogan ya "if you cant beat them, join them"

Sijaelewa nini mantiki yako lakini kuna mambo yako wazi tu kama arsenal itafanya vizuri siku wenger akiondoka au timu ikiuzwa kwa mmiliki mwingine mpenda soka, au manure kubinafsisha nafasi ya sita yani kuna vitu ni obvious kama naposema pogba ni galasa mbele ya turufu N.KANTE
 
Niaje Chelsea chama la wanaaaa ... mko poaaa. .kilichobaki kwa sasa hiv ni kupiga tu yeyote yule aliyeko mbele yetu ...au siyo mazeee
 
Sijaelewa nini mantiki yako lakini kuna mambo yako wazi tu kama arsenal itafanya vizuri siku wenger akiondoka au timu ikiuzwa kwa mmiliki mwingine mpenda soka, au manure kubinafsisha nafasi ya sita yani kuna vitu ni obvious kama naposema pogba ni galasa mbele ya turufu N.KANTE
hata shetani alikuaga malaika, hivo sitashangaa na wewe ukianza kupeperusha bendera ya blue huku ukitumia hashtag ya KTBFFH
 
Bonge la TBT...

17352563_1453566964693894_1287038056575798798_n.jpg
 
hata shetani alikuaga malaika, hivo sitashangaa na wewe ukianza kupeperusha bendera ya blue huku ukitumia hashtag ya KTBFFH
Bado haimake sense mfano wewe unapoiangalia leicester city CL nini maana yake? Umeichoka manure kwa kua ni muda mrefu hajashiriki CL ko ukaona bora upunguze machungu kwa kuishabikia leicster city au ni nini? Eti ndugu yangu herrera
 
Bado haimake sense mfano wewe unapoiangalia leicester city CL nini maana yake? Umeichoka manure kwa kua ni muda mrefu hajashiriki CL ko ukaona bora upunguze machungu kwa kuishabikia leicster city au ni nini? Eti ndugu yangu herrera

kwamba ndio umepoteza kumbukumbu kiasi hicho ndugu yangu? msimu uliopita nilishiriki champion league kama nyie
 
is this even a debate?
203958d11fc71fa04e302e75c6c4f41d.jpg
b6efe13c7814ebf5df145c47025750c7.jpg

aa3745a1d6c35d1af7e2a2fff7b5aaf2.jpg

33d1701803bb2e720f717dde296e1e99.jpg


can i give you some more?
d9b1a342470c6389cb9bd0616db4476e.jpg


the only reason kante is the talk of the town ni ile kimbia kimbia yake uwanjani na uwepo wa pogba manchester, but contribution yake hanusi hata kwa Ander Herrera Aguera.
 
is this even a debate?
203958d11fc71fa04e302e75c6c4f41d.jpg
b6efe13c7814ebf5df145c47025750c7.jpg

aa3745a1d6c35d1af7e2a2fff7b5aaf2.jpg

33d1701803bb2e720f717dde296e1e99.jpg


can i give you some more?
d9b1a342470c6389cb9bd0616db4476e.jpg


the only reason kante is the talk of the town ni ile kimbia kimbia yake uwanjani na uwepo wa pogba manchester, but contribution yake hanusi hata kwa Ander Herrera Aguera.


Maskini nyie ndo wale mnaoamini statistics kupitiliza.

Ngoja nikurahisishie...kwa kutumia stats zako compare Herrera na James Milner uone ambavyo stats lie!!!!
 
Maskini nyie ndo wale mnaoamini statistics kupitiliza.

Ngoja nikurahisishie...kwa kutumia stats zako compare Herrera na James Milner uone ambavyo stats lie!!!!
herrera vs james milner? au sijakuelewa
 
TAARIFA MUHIMU...
Ndugu msomaji unaarifiwa kuwa itakapojiri tarehe 21/03 Ulimwengu wa Soka utakuwa kwenye maadhimisho ya siku ya kuzaliwa ya Mtume na Nabii wa mwisho wa Soka Ronaldo de Assis Moreirra aliezaliwa katika viunga vya Port Alegre nchini Brazil...

Taarifa hii imetolewa na kusambazwa kwenu na msemaji wa AC Milan Afrika Mashariki ambae pia ni afisa habari wa mchezaji huyo barani Afrika Gang Chomba.

MOTO:
Some thing can't stay buried...
Bashite toa vyetiiiiii
 
is this even a debate?
203958d11fc71fa04e302e75c6c4f41d.jpg
b6efe13c7814ebf5df145c47025750c7.jpg

aa3745a1d6c35d1af7e2a2fff7b5aaf2.jpg

33d1701803bb2e720f717dde296e1e99.jpg


can i give you some more?
d9b1a342470c6389cb9bd0616db4476e.jpg


the only reason kante is the talk of the town ni ile kimbia kimbia yake uwanjani na uwepo wa pogba manchester, but contribution yake hanusi hata kwa Ander Herrera Aguera.
Team ya hererra iko nafasi ya ngapi?? Team ya kante iko nafasi ya ngapi??? Je mourinho anamtuaje hererra?? Je conte anamtumiaje kante??

Je hererra anacheza na nani kiungo, vipi kuhusu kante??? Je team zinacheza mifumo sawa??

Ukijibu hayo maswali, tambua kua hizo hizo statistics ndogo za kante ndo zinazoisogeza chelsea na kuwa kileleni mwa ligi, wakati huo huo statistics kubwa za hererra zinatosha kuifanya man u atleast imaintain nafasi ya 6 kwa muda wa miezi ya kutosha tuu maana zikipungua lazima kushuka nafasi kuhusike.

Kante ni kante tuu!!! Na hizo statistics zingekua kama za hererra i hope tungekua unbeaten na tungekua tunanyesha mvua ya magoli kwa team yoyote tunayokutana nayo so kidogo atoacho kinatosha
 
Stoke City Vs Chelsea FC - match stats

Stoke City have won only two of their 17 Premier League meetings with Chelsea (D3 L12), with both victories arriving at the bet365 Stadium.

Chelsea have recorded just two wins in their last seven visits to Stoke in all competitions (D3 L2) – 2-0 in December 2014 and 4-0 in January 2013.

Cesc Fabregas has assisted seven goals in eight Premier League starts against Stoke, with the Spaniard also netting two in the process.

Indeed, only against Spurs (11) has Fabregas provided more assists in the Premier League than versus Stoke (7).

Willian notched his first ever Premier League brace in the reverse fixture, equalling his goal tally for last season in the competition (5). However, the Brazilian has failed to score in eight league appearances since that game.

Diego Costa’s next Premier League goal will be his 50th in the competition and would be the 7th Chelsea player to reach that milestone for the club.

If Costa does score in this game, he will have reached 50 goals in 80 Premier League appearances. The only players to do this in fewer games were Andrew Cole (65), Alan Shearer (66), Ruud van Nistelrooy (68) and Fernando Torres (72).

Chelsea have used the fewest players (21) and made the fewest changes to their starting XI overall (24) this season in the Premier League.

Antonio Conte has used every substitution possible in the Premier League this season (81/81). The only side in Premier League history to have done this in a whole 38-game season were Manchester City in 2014-15 (114/114).

This will be the 13th occasion that Stoke have played against a team placed top of the Premier League on the day of the game. Of the previous 12, they have won just once – versus Manchester City in December 2015 (W1 D2 L9).
 
Team ya hererra iko nafasi ya ngapi?? Team ya kante iko nafasi ya ngapi??? Je mourinho anamtuaje hererra?? Je conte anamtumiaje kante??

Je hererra anacheza na nani kiungo, vipi kuhusu kante??? Je team zinacheza mifumo sawa??

Ukijibu hayo maswali, tambua kua hizo hizo statistics ndogo za kante ndo zinazoisogeza chelsea na kuwa kileleni mwa ligi, wakati huo huo statistics kubwa za hererra zinatosha kuifanya man u atleast imaintain nafasi ya 6 kwa muda wa miezi ya kutosha tuu maana zikipungua lazima kushuka nafasi kuhusike.

Kante ni kante tuu!!! Na hizo statistics zingekua kama za hererra i hope tungekua unbeaten na tungekua tunanyesha mvua ya magoli kwa team yoyote tunayokutana nayo so kidogo atoacho kinatosha

umeongelea vitu viwili vinavopingana ndugu, sasa sijajua msimamo wako ni upi.

Tunaongelea performance ya herrera na kante, we unaongelea Manchester kuwa namba 6 na chelsea kuongoza ligi, umesahau kuongoza ligi ni team performance sio individual performance. umesahau kuwa vermaleen alichukua uefa na barca wakati akina bonucci, T silva, David luiz etc wanaangalia kwenye tv, au unataka unambie vermaleen alikua mzuri kuliko hao?
Handerson na buttner walichukua epl wakati gerald kaishia kubusu kamera

umeongea kuhusu mfumo na jinsi makocha wanavowatumia, hapa sijakuelewa ndugu, kwamba mfumo anaotumia conte haujamkubali kante ndio maana takwimu zake zipo chini kuliko herrera???

hapo kwenye red umekubali kuwa takwimu zinaonesha herrera ni bora kuliko kante ila ni underrated?
 
umeongelea vitu viwili vinavopingana ndugu, sasa sijajua msimamo wako ni upi.

Tunaongelea performance ya herrera na kante, we unaongelea Manchester kuwa namba 6 na chelsea kuongoza ligi, umesahau kuongoza ligi ni team performance sio individual performance. umesahau kuwa vermaleen alichukua uefa na barca wakati akina bonucci, T silva, David luiz etc wanaangalia kwenye tv, au unataka unambie vermaleen alikua mzuri kuliko hao?
Handerson na buttner walichukua epl wakati gerald kaishia kubusu kamera

umeongea kuhusu mfumo na jinsi makocha wanavowatumia, hapa sijakuelewa ndugu, kwamba mfumo anaotumia conte haujamkubali kante ndio maana takwimu zake zipo chini kuliko herrera???

hapo kwenye red umekubali kuwa takwimu zinaonesha herrera ni bora kuliko kante ila ni underrated?

No, fact bado inabaki Kante ni bora kuliko Herrera!!!
 
he FA Cup semi-final between Chelsea and Tottenham will take place on Saturday April 22 at 5.15pm, with the other last-four clash between Arsenal and Manchester City kicking off at 3pm on Sunday April 23.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom