umeongelea vitu viwili vinavopingana ndugu, sasa sijajua msimamo wako ni upi.
Tunaongelea performance ya herrera na kante, we unaongelea Manchester kuwa namba 6 na chelsea kuongoza ligi, umesahau kuongoza ligi ni team performance sio individual performance. umesahau kuwa vermaleen alichukua uefa na barca wakati akina bonucci, T silva, David luiz etc wanaangalia kwenye tv, au unataka unambie vermaleen alikua mzuri kuliko hao?
Handerson na buttner walichukua epl wakati gerald kaishia kubusu kamera
umeongea kuhusu mfumo na jinsi makocha wanavowatumia, hapa sijakuelewa ndugu, kwamba mfumo anaotumia conte haujamkubali kante ndio maana takwimu zake zipo chini kuliko herrera???
hapo kwenye red umekubali kuwa takwimu zinaonesha herrera ni bora kuliko kante ila ni underrated?