Invisible
JF Admin
- Feb 26, 2006
- 16,286
- 8,447
Nasikia tumbo linanicheza hahahahahahaNimeona aisee........Leo kazi ipo............hahaaaaaaaaaaaaa
Nasikia tumbo linanicheza hahahahahahaNimeona aisee........Leo kazi ipo............hahaaaaaaaaaaaaa
Vijana wako wanafanya mazoezi kwa kuanza msimu ujao mkuu.Dah...yaani tunakumbuka shuka wakati kumekucha...hahaaaaa...Fulham wamejifunga...Arsenal 3 Fulham 0
Nasikia tumbo linanicheza hahahahahaha
Vijana wako wanafanya mazoezi kwa kuanza msimu ujao mkuu.
Ngoja nijipe moyo, wale ma-"Ibilisi" wamekamia kweli... HahahahaUsihofu....mnashinda kwa magoli hata ma4 leo...Ubingwa ni wenu na Drogba atakuwa mfungaji bora.....ana goli leo,subiri 2nd half uone
Ngoja nijipe moyo, wale ma-"Ibilisi" wamekamia kweli... Hahahaha
Naungana na wewe lazima mje kivingine next season unakaribishwa darajani kupata mbuzi kidogo baadae.Hope wamejifunza mwaka huu.......labda tutakuja kivingine mwakani...fingers crossed......heheeeeeeeee
Naungana na wewe lazima mje kivingine next season unakaribishwa darajani kupata mbuzi kidogo baadae.
Asante jirani..nitakaribia kwa kweli..angalau ubingwa unabaki London..........na hauendi 'mkoani'...hahaaaaaaaaaaaa
wewe huogopi noisy neighbour?
Nipo hapa nachekeleeeeea hehehehehehahahaaa!!!!....mkuu usihofu, kuna goli mbili baadae toka kwa drogba!!
Umekosea mkuu hahahaha NNEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!Hahaaaaaaaa,Chelsea 3 Wigan 0....Kalou......Man U nao wameongeza la 3...Stoke wanajifunga......leo....