Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

japo sikuwepo ila mshikaji wangu ulijenga nyumba huku mwaka jana.
Aiseee nilisaga sumu balaa mpka nikaacha mwenyewe maana washkaji wote waliacha jukwaa nikabaki na kipenzi Ntuzu mara aje mara asije,hahahhaha kuna mcharo wangu naye akaacha wosia jukwaa lingine wacha nipaniki nikajua nishampoteza hahahhaha ila Mentor ulinichanganya na zile hadithi zako ujue japo sikukwambia sijui ndo zilikuwa stress za Chelsea ukaibuka na bonge la hadithi.!!!!
 
Aiseee nilisaga sumu balaa mpka nikaacha mwenyewe maana washkaji wote waliacha jukwaa nikabaki na kipenzi Ntuzu mara aje mara asije,hahahhaha kuna mcharo wangu naye akaacha wosia jukwaa lingine wacha nipaniki nikajua nishampoteza hahahhaha ila Mentor ulinichanganya na zile hadithi zako ujue japo sikukwambia sijui ndo zilikuwa stress za Chelsea ukaibuka na bonge la hadithi.!!!!
mshikaji wangu wewe hapana. Kile kipindi kigumu ulituweza sana.....acha tuwe wengi now wakati wa neema.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom