Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mnaweza mkawa mabingwa wa EPL
Lkn hamuwezi mkawa wafalme wa soka la Uingereza
Nyie ni mabingwa lkn Liverpool ni wafalme
Hahahahaha yamekua ya ufalme tena[emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38] [emoji13] [emoji13]
 
Yeah! Ni kweli alikuwa wetu na akiongea akiwa upande wenu huoni kama anaongea hovyo, waona raha tu.
This is how Shevchenko, Drogba, Essien and Abramovich celebrated Alonso's goal against Arsenal. Together.[emoji170][emoji460]️[emoji123]
FB_IMG_1486271730056.jpg
 
Huyo Conte bhanaaa ana akili ya mpira na ana vitu vingi sana ambavyo anaweza kuvileta pale Stamford Bridge [emoji563] ,

kawakuta wachezaji lakini ameweza kuwaunganisha na kuleta vitu ambavyo vinamfanya Sir Alex Fagurson ajutie kauli aliyoitoa kuhusu Chelsea
Mkuu Sir Alex Fagason alisemaje. Tukumbushane
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom