Hii kitu menyewe ni Kalou, wewe unalazimisha tu.
Bado Kalou anaonekana ana wasiwasi (k)wa kutwaa "ndoo".
SURE THING..ukiliona goli la hazard ndiyo utajua kijana huwa wakati mwingine anacheza nusu ya uwezo wake
Babu alitakiwa awaambie wachezaji wake, leo ndio mtadhihirisha kama ninyi ni waume au wa jinsia ile.Babu amekubali mwenyewe![]()
![]()
![]()
Nipo mkuuBingwa uko wapo siku hizi?umeniachia warembo wote MMU alone
Kweli kabisa leo alikuwa kwenye form hatari![]()
kipa wetu alikuwa makini kweli!
Kante yupo vizuri mkuuHuyu Jamaa Leo kanikosha balaaa![]()
Babu alitakiwa awaambie wachezaji wake, leo ndio mtadhihirisha kama ninyi ni waume au wa jinsia ile.
Hii tu ingeliwatosha kuwafanya red/white kufa uwanjani kwa kujituma. Hii mechi ingelikuwa "asali" kweri kweri leo.
😀

Hahahahaha umeanza kukubali mwenyeweubingwa tushindwe wenyewe
Kwa hakika leo Kante amewaweza yaani alikuwa anajichukulia mpira miguuni mwa Arsenal kama wakeHuyu Jamaa Leo kanikosha balaaa![]()

Mfyuuuuuuu mind the gappppppppppp uuuuuuùuhhhh!!!!!!!!! Hahahahahaaa!! haya bana tumekubali kumind the gap.... ngoja sisi tuangalie side B vya kitandani vikitushinda basi hata vya uvunguni tuambulie. ..... Hongereni sana you deserve to be there

Hongereni kwa kulipiza kisasi ila.....mhhhh hatukohohiiiii
Huyu kijana wa mama Ndalichako ni hatari.....Kwa hakika leo Kante amewaweza taani alikuwa anajichukulia mpira miguuni mwa Arsenal kama wake![]()
![]()
![]()