Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

633776076.jpg
633775444.jpg


Hazard by name, Hazard by nature.
 
Striking force ya chelsea wanapo attack nadhani hamna team ulaya ina uwezo huu wanatisha sana ,nimeangalia team nyingi sana Barca wala Madrid hawana uwezo wa ku attack kama wanavyofanya Chelsea !!combination ya Mosses ,Eden Hazard ,Costa inatisha sana hasa wings zote za kulia na kushoto
 
Kesho kusanya vijana wenzako, ufike Segerea ili nimkabidhini "ndoo" enyu.

Usifurahi sana, ushindi wa leo utaleta bahati mbaya kweri kweri kwenyu.

Lile bao la kwanza halikupaswa kukubalika na mwamuzi. Usiniulize kwa nini, uliona na angalia replay. Bao la 2 safi sana . Bao la 3 Cech aliamua kuizawadia timu yake ya zamani.
 
Kesho kusanya vijana wenzako, ufike Segerea ili nimkabidhini "ndoo" enyu.

Usifurahi sana, ushindi wa leo utaleta bahati mbaya kweri kweri kwenyu.

Lile bao la kwanza halikupaswa kukubalika na mwamuzi. Usiniulize kwa nini, uliona na angalia replay. Bao la 2 safi sana . Bao la 3 Cech aliamua kuizawadia timu yake ya zamani.
FB_IMG_1486203644668.jpg
 
kumbe nawe umeliona angempasia mwenzie lile lilikuwa goli
Kaniuzi sn. Tulikua tushinde Goli 5. Maana kawanyima mipira ya wazi kabisa mara mbili.
Leo Costa kazingua alikuwa na hamu sana ya kufunga, nadhani kutokana na kukosa penalt juzi na mambo yanaendelea kuhusu China. Anawakoseha wenzake nafasi za wazi kabisa
 
Leo Costa kuharibu mechi sana kwa kupunguza idadi ya mabao yamkini gemu ilimkataa

OK.. tusimlaumu sana kwa vile lengo lake halikuwa baya alitaka kufunga goli na hasa ukizingatia siku nyingine anatufurahisha kwa magoli yake..!

Chelsea.... piga keleleeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom