Lile goli walilolikataa la Costa wala haikuwa offside alikuwa kwenye line kabisaChelsea 1 - 0 Hully city
D. Costa 45+7'
Ni kweli mkuu, ila si unajua sisi hatuna bahati za magoli kama haya kama timu fulani fulaniLile goli walilolikataa la Costa wala haikuwa offside alikuwa kwenye line kabisa
Refa kazingua lile ni goliLile goli walilolikataa la Costa wala haikuwa offside alikuwa kwenye line kabisa
Wanaongeaongea wasioyajuaShangilia ya Costa ina maana gani?
Funguka tu so wale wazee WA namba 6!!!hahahNi kweli mkuu, ila si unajua sisi hatuna bahati za magoli kama haya kama timu fulani fulani