Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hao Sky sports na The Sun sio watu wa kuwaamini kihivyo especially kipindi hiki cha usajili , Conte , Cahill na Alonso walipohojiwa jana walisema Costa ana maumivu ya mgongo na tokea siku tatu nyuma kabla ya mechi ya jana alikuwa anafanya mazoezi peke yake na Costa mwenyewe kabla ya mechi alipost kwenye Instagram page yake kuwatakia ushindi timu,
Hakuna inshu kubwa yoyote zaidi tu ya media hype.
As far as all official news na sio udaku Costa is still blue.
Yawezekana ni sahihi au sio sahihi lakini kwa upande wangu bila kumung'unya maneno issue ya diego ni sahihi kabisa anatatizo na sio injury ukisoma baadhi ya vyombo vya habari vinasema diego siku ya jumanne akiwa mazoezini alilalamika kuwa ana back heel pain ambapo alichunguzwa ikaonekana hana hayo maumivu anayoyalalamikia hapo ndipo mgogoro unapoanzia.
Kwa nje tutaambiwa kwamba hakuna shida lakini ndani ya club kuna tatizo lakini kuficha yote hayo ni kulinda utulivu uliopo ktk club
 
Leo ndo mnaona hilo!? Bado hazard. Kipindi walipomhujumu Mourinho mliwasifu,sasa kuleni matapishi yenu. Na mtu akizoea kula nyama ya mtu tu hataacha,ataendelea tu!
issue ya diego nadhani iko tofauti na ya hazard huyu diego yeye anataka kwenda china baada ya kuahidiwa kitita kinene tofauti na kipindi cha mourinho hao wachezaji walikuwa hawamtaki kocha
 
Yawezekana ni sahihi au sio sahihi lakini kwa upande wangu bila kumung'unya maneno issue ya diego ni sahihi kabisa anatatizo na sio injury ukisoma baadhi ya vyombo vya habari vinasema diego siku ya jumanne akiwa mazoezini alilalamika kuwa ana back heel pain ambapo alichunguzwa ikaonekana hana hayo maumivu anayoyalalamikia hapo ndipo mgogoro unapoanzia.
Kwa nje tutaambiwa kwamba hakuna shida lakini ndani ya club kuna tatizo lakini kuficha yote hayo ni kulinda utulivu uliopo ktk club
Either way, Conte is smart enough kujua jinsi ya kuli handle hili.
Kama atamuacha Costa aondoke msimu huu wa baridi lazima hela kubwa sana itolewe ambayo itafanya replacement yake isiwe tatizo.
Chelsea inacheza vizuri kama timu ,any decent striker anaweza ku fit in.
Ila still nina doubt km Conte ataruhusu Costa aondoke kabla msimu kuisha
 
The goal came from a right-wing cross by Azpilicueta, which bounced around the box before falling to Hazard eight yards from goal. He showed superb awareness to ignore the shot, which Morgan would have blocked, and tee up Alonso with a calm square pass. It invited - demanded - a first-time shot and Alonso wrapped his right foot around the ball to belt a curler past Schmeichel. That was an excellent finish and a superb assist from Hazard: 99.94 per cent of players would have had a shot in that situation.

3888.jpg

Chelsea’s Marcos Alonso fires Chelsea into a very early lead.
3500.jpg

Then is congratulated by his team-mates.
 
4256.jpg

On the 10 minute mark, the Leicester City fans hold up their phones with the torches on for Club ambassador Alan Birchenhall ,who is recovering in hospital after a heart attack.
 
26 min This is so much better from Leicester, who have started to bully Chelsea a little bit, particularly in midfield.

4031.jpg

Chelsea’s Pedro, left, and Leicester City’s Wilfred Ndidi battle for the ball.
 
42 min Courtois has dealt assertively with Fuchs’ long throws all night, and there’s another example. He is so impressive - and he’s still only 24, which is ridiculous given how good he is and what he has achieved. His quiet authority is a little reminiscent of Peter Shilton.

3888.jpg

Chelsea keeper Thibaut Courtois leaps above Leicester’s Ahmed Musa to claim a high ball.
 
GOAL! Leicester 0-2 Chelsea (Alonso 51)
The free-kick for that Fuchs foul leads to a second goal for Marcos Alonso. It flashed across the box and was headed clear to Alonso in the D. He controlled it and drove a shot that took a double deflection off Morgan - it hit both pads, in cricket parlance - and wrongfooted Schmeichel.

3120.jpg

Marcos Alonso thumps home Chelsea’s second via Leicester’s Morgan and Drinkwater.
4689.jpg

The champions look a tad shell-shocked.
 
58 min A bit of action at both ends. Albrighton, anticipating a tackle from Alonso that never comes, falls over. No penalty. Then Hazard gets one v one in the box against Morgan, who does brilliantly to force him wide and ensure he can’t get a shot in.

4481.jpg

Eden Hazard is thwarted by Wes Morgan
 
62 min We are entering the age of the acrobatic volley. Andy Carroll scored one today, and now Gary Cahill tries his luck. After a corner was headed up in the air, Cahill produced an elegant overhead kick that hit Morgan and went behind for a corner. It did hit Morgan’s arm but it was in front of his chest so there was no real appeal for a penalty.

4591.jpg

Gary Cahill tries an acrobatic volley.
 
GOAL! Leicester 0-3 Chelsea (Pedro 71)
It’s certainly over now. Pedro starts and finishes the move to put Chelsea 3-0 ahead. Kante played a short pass into Pedro on the edge of the box; he produced a spectacular no-look pirouette backheel to put Willian clear on the right of the box. Schmeichel came out, Willian dinked the ball over him, and Pedro headed the loose ball past Morgan on the line. I think Willian was fractionally offside but well, who cares.

4794.jpg

Pedro heads home Chelsea’s third.
5472.jpg

Then celebrates with Willian.
5472.jpg

Before being mobbed by his Chelsea team-mates.
 
5162.jpg

Chelsea manager Antonio Conte celebrates after the final whistle.
 
Leo ndo mnaona hilo!? Bado hazard. Kipindi walipomhujumu Mourinho mliwasifu ,sasa kuleni matapishi yenu. Na mtu akizoea kula nyama ya mtu tu hataacha,ataendelea tu!

huyo morinho alihujumiwa na nani bhana, zama zake zimeisha.......... we kama unamlilia yupo manure kule mfuate, sio unalia lia tu hapa.
 
Duh mpaka nawaonea huruma..ila wakijitahidi wanaweza kupata draw kwa man utd, liver au arsenal..

16105985_402647116746405_4911462910458446246_n.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom