Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

1484420453617_lc_galleryImage_LEICESTER_ENGLAND_JANUARY.JPG

1484420476705_lc_galleryImage_Chelsea_s_David_Luiz_cele.JPG


Wachezaji wa Chelsea wakishangilia baada ya kupata goal dhidi ya Leicester city
 
3C21942200000578-4120460-image-a-54_1484420870219.jpg


Nilipenda ambavyo mashabiki wa Leicester walivyoshangilia pale ambapo mtangazaji alipotaja jina lake kwenye line-up ya Chelsea.

[HASHTAG]#sportsmanship[/HASHTAG]

3C217BB200000578-4120460-image-a-56_1484420927069.jpg



Sababu ya Ranieri kupanga 3-5-2 leo ilikuwa kupunguza nguvu ya Kante. Msimu uliopita alisema wakati anapanga kikosi chake (Kante akiwepo) ilikuwa ni sawa na kuwa na midfielders watatu - yaani Drink water katikati na Kante kulia na kushoto kwake.

Shida ni kuwa Ndidi na Mendy bado sana kufikia level ya Kante.


Midfield ninayoiheshimu msimu huu kwa EPL ni ya Wanyama-Dembele pekee.


3C2099DD00000578-4120460-image-m-60_1484421002659.jpg


Humble guy from humble beginnings...akiendelea hivi atafika mbali! To create a name with the likes of Claude Makelele.
 
3C21BAA700000578-4120214-image-a-141_1484419693524.jpg


Cahill: I like him pamoja na kwamba najua kiwango chake bado si kiwango cha kuridhisha. Sio mhamasishaji mzuri saana (kwa maneno) ila nadhani pamoja na ukimya wake his passion tells he loves the team!!!
 
In memory of GRAHAM TAYLOR (1944 - 2017)

3C213BA400000578-4120214-image-a-101_1484418349797.jpg


Timu zote weekend hii zitavaa black arm bands kukumbuka kifo cha aliyewahi kuwa kocha wa timu ya Uingereza, Graham Taylor, miaka ya 1990 hadi 1993.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom