Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,283
- 4,556
Nimeanza kujenga dhana fulani... ili ushinde EPL ni lazima marefa wao upande wako aidha kwa makusudi au inatokea tu. Mechi 3 sasa za Chelsea nashuhudia marefa wanavyowabeba. Leo kulikuwa na penati za wazi mfano: Terry aliposhika mpira ndani ya box na Drogba hali kadhalika. Halafu mtabisha kama mlivyobisha goli la Drogba mlipocheza nasi (offside iliitwa onside). Kwamtindo huu ubingwa mtaupata tu.
Vipi goli la Macheda mbona huzungumzii? Au yeye ana haki ya kufunga kwa mikono?! Kwa hiyo unakubali kwamba Manure waliposhinda misimu mitatu walikuwa wanabebwa na marefa!
Hapo kwenye nyekundu ni exaggeration, kila mechi? Neno "KILA MECHI" linabeba uzito sana! Na sio kweli kwamba maamuzi mabovu yameibeba Chelsea tu mwaka huu, kuna timu nyingi tu zimepata misaada ya marefa, sema wewe interest yako iko kwa Chelsea for the very obvious reason! Acha hizo, KILA TIMU inabebwa na KILA TIMU inaonewa vilevile, controversy in games/sports will always be there as long as waamuzi ni binadamu! Kwa haraka tu ninaweza kuunganisha mechi saba ambazo Manure "wamebebwa" mwaka huu achilia mbali hizo tatu za Chelsea unazolilia.ninajenga dhana, nimekuwa nikiangalia vizuri EPL toka miaka ya 1994. Bingwa wa EPL anakuwa na magoli mengi tata na kulindwa kiajabu ajabu. Huenda haitokei kwa makusudi ila marefa wanajikuta wamefanya hivyo. Hilo ndo linalotokea kwa Chelsea mwaka huu. Kila mechi ni utata tu.
Hapo kwenye nyekundu ni exaggeration, kila mechi? Neno "KILA MECHI" linabeba uzito sana! Na sio kweli kwamba maamuzi mabovu yameibeba Chelsea tu mwaka huu, kuna timu nyingi tu zimepata misaada ya marefa, sema wewe interest yako iko kwa Chelsea for the very obvious reason! Acha hizo, KILA TIMU inabebwa na KILA TIMU inaonewa vilevile, controversy in games/sports will always be there as long as waamuzi ni binadamu! Kwa haraka tu ninaweza kuunganisha mechi saba ambazo Manure "wamebebwa" mwaka huu achilia mbali hizo tatu za Chelsea unazolilia.
Hawana lolote ile game ilikuwa yetu ukiachilia mbali na goli lao mkono walilopewa kama ni suala la penati wote tulinyimwa hata hakuna upendelea wowote kwa misingi hiyo sema mafanikio yetu msimu huu ni kujituma tu.Vipi goli la Macheda mbona huzungumzii? Au yeye ana haki ya kufunga kwa mikono?! Kwa hiyo unakubali kwamba Manure waliposhinda misimu mitatu walikuwa wanabebwa na marefa!
Furious Coyle said: "Four points clear... if Chelsea continue to get those decisions I'm sure they will be winning the title. We didn't need any luck, we only needed the officials to get the big decisions right. "There were two stonewall penalties out there for handballs. "I know Drogba is a world-class player but he could play world-class volleyball on that evidence. "Then there's the second one when John Terry handles it. The assistant referee says it hit his shoulder but it's a clear penalty. khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee .... ....
... ..... And his claims came hard on the heels of Aston Villa's protests that they were denied a penalty during the FA Cup semi-final defeat to Chelsea on Saturday. .. ...
![]()
Welcome to the world of mafioso ... .. sasa naona FA wana kazi kubwa, game ya Manure refa aliwekwa benchi sasa huyu sijui wataamua nini, yaani hizi mechi hadi ziishe tutaona mengi. Hivi Bankers wameanza kumkopesha tena Abraham o vich naona anamwaga mpunga kama kawa.
Ila jana zilikuwa penati, na ile rafu ya JT dhidi ya Milner alistahili red card .Kuna umuhimu wa kuongeza assistant referee kwenye kila goli
It has been for years when all sorts of referree decisions were helping MU win the titles. Now, it's Chelsea time! All MU supporters shouldn't be surprised, cause they are used to such referring whenever their team plays..Hawana lolote ile game ilikuwa yetu ukiachilia mbali na goli lao mkono walilopewa kama ni suala la penati wote tulinyimwa hata hakuna upendelea wowote kwa misingi hiyo sema mafanikio yetu msimu huu ni kujituma tu.
Again kila timu inabebwa but hakuna timu inayoandaliwa kuchukua ubingwa ,tatizo lenu Arsenal timu yenu haina uwezo wa kuchukua ubingwa
The referees have won the Premeir League trophy for ChelcheatVipi goli la Macheda mbona huzungumzii? Au yeye ana haki ya kufunga kwa mikono?! Kwa hiyo unakubali kwamba Manure waliposhinda misimu mitatu walikuwa wanabebwa na marefa!
When you wield the power (Sir Alex Ferguson) and the money (Abramovich) it's amazing how decisions seem to go your way. Except of course if the game is European then the playing field becomes more level.Remember Chelsea before Abramovich's billions, one premiership title in 1955, two FA Cup wins. Hardly a top club...Baaeleze baambie hao wachovu!
The referees have won the Premeir League trophy for Chelcheat