Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

aisee... wasipotufunga before break hawatufungi tena
 
Kosa kubwa ni matic kuumia na kumwanzisha fabrigas sikubaliani na conte bora angemchezesha obi mikel
Mh Mikel kabisa? Nakubali kwamba Matic kama yuko fit alitakiwa kuanza maana midfield yao ni heavy ila sio Mikel bro.

Anyway, ni wakati wa wakaanga sumu kuongea kabla ya second half.
 
mkuu mpira tunauona wote na mapungufu tunayaona.. alonso leo tatizo
Alonso siku zote ni tatizo kwangu. Ndiyo maana juzi hapa nilisema Kennedy angeweza kucheza better than him mkaniambia labda awe mbadala wake kutokea bench.

All in all...its coming back!
 
Og maana Yake nn jaman nimeona kwny live score Gari Kahili (og) kaandikiwa hivi
 
Cahill ni bonge la straika angekua kwa wenger saiz angekua anagombaniana namba na oliviere giroud
 
Alonso siku zote ni tatizo kwangu. Ndiyo maana juzi hapa nilisema Kennedy angeweza kucheza better than him mkaniambia labda awe mbadala wake kutokea bench.

All in all...its coming back!
mkuu ushindi kama kawa.. ila nilijua first half lazima watufunge.. kipindi cha pili tunachukua point zetu tatu.. kama mimi nimeona naamini hata conte kaona
 
Kichaa hakiponi nimeamini kama unabisha muangalie Diego Costa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom