Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Screenshot_2016-11-27-09-04-02.jpg
 
Jana Conte kipindi cha kwanza alitumia mfumo tofauti kidogo 3-5-2 hii iliwapa shida,iliwafanya Tottenham watawale game na wapate goli la kuongoza,baada ya kipindi cha pili akarudi kwenye mfumo wake wa 3-4-3 wa mauaji baada ya kuona hali sio nzuri
 
Mfumo wetu unapata shida endapo timu zitaattack sana hivyo back three wanakosa kupass to the midfield imejionyesha zile 30mins za kwanza
 
One down, one to go!

Bado una neno la kusema.

- Best team in November
- Costa Best November Player
- A. Conte Best November Coach.



December here we come...
Nope, i got nothing to say
Let me pray for you guys chukueni ubingwa, ikishindikana kabisa uende man city lakini sio arsenal wala liverpool.
ALL THE BEST

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Km umeiangalia vzr game ya jana unaweza ukajifunza mengi sn. Spurs walikania sn huu mchezo pia Chelsea walifanya makosa Fulani ingawa mpk wanaenda mapumziko walijitahidi kuweka mambo sawa Na kipindi cha pili wakaja Chelsea wakiwa vzr sn.

Kutokana na huu mchezo wetu Wa Jana kuna vitu Conte anapaswa avifanyie kazi tena timu ibadilike Zaidi ya hapo kwasababu tunakwenda kucheza big game away so wajipange vzr Zaidi ya hapo ili kuweza kuwafunga city

Ukiangalia Spurs walianza game ya jana kwa kuvusha mipira nyuma ya wale wingbacks, walikuwa wanatokea sana pembeni. Ila kipindi cha pili Chelsea ilirudi vizuri sana, kwa kuhakikisha mipira haiendi pembeni.

Na hapo ndio Spurs akawakwisha habari yake
 
Nope, i got nothing to say
Let me pray for you guys chukueni ubingwa, ikishindikana kabisa uende man city lakini sio arsenal wala liverpool.
ALL THE BEST

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app


Kuna nyakati unakuwaga na busara mpaka nafurahi!

Hebu pata kinywaji chochote unachotumia hapo kwa gharama yako tafadhali.


Thanks and we won't let you down. Kama kuna kitu Chelsea tunajua ni 'kufika na kukaa kileleni.'
 
Mfumo wetu unapata shida endapo timu zitaattack sana hivyo back three wanakosa kupass to the midfield imejionyesha zile 30mins za kwanza
Ili kukabilia Na mfumo Wa 3-4-3 anaotumia Conte timu pinzani lazima ihamia mbele ktk eneo lenu kuwakabiri. Wakifanya hivyo back line ya wachezaji watatu lazima izidiwe. Hivi ndio walivyofanya spurs Jana. Walikua wanapanda mbele sn tena Kwa makusudi mpk ikawa inawatia hofu wachezaji Wa Chelsea kupanda mbele Na kina Matic Na Kante wakawa wameelemewa Na pia timu ikawa pushed back Kwa nguvu sn.....

Sasa ili kukabiliana Na hali km hiyo lazima kutumike nguvu taratibu ya kumtoa adui ktk aeneo lako tena Kwa ushirikiano Wa timu yote Na ndicho walichofanya Chelsea na kurudi ktk mfumo wao Wa kawaida.
 
Ukiona tu Dele Alli na Mchina Son mpira umewashinda basi huna budi kuendelea kuiheshimu historia....... Ni ngumu kuweka historia mpya kama viungo wako bora kabisa na tegemezi wanakuwa hawapo mchezoni......

Chelsea wanazuia wengiiiiiiiii wana shambulia wachache.... Ila Spurs wanazuia wachacheeeee wanashambulia Wengi..... Plan za Spurs zilikufa individuality nayo pia ila Dembele, wanyama ndio walikuwa hai.

Spurs keshachezewa...... Chelsea anaendelea kuchezea..... Kileleni ni haki yake.

Chelsea 2-1 Spurs
 
Ukiona tu Dele Alli na Mchina Son mpira umewashinda basi huna budi kuendelea kuiheshimu historia....... Ni ngumu kuweka historia mpya kama viungo wako bora kabisa na tegemezi wanakuwa hawapo mchezoni......

Chelsea wanazuia wengiiiiiiiii wana shambulia wachache.... Ila Spurs wanazuia wachacheeeee wanashambulia Wengi..... Plan za Spurs zilikufa individuality nayo pia ila Dembele, wanyama ndio walikuwa hai.

Spurs keshachezewa...... Chelsea anaendelea kuchezea..... Kileleni ni haki yake.

Chelsea 2-1 Spurs


Yeah kwa muda nilipoona Dembele na Wanyama pale kati wamepakamata nilipata wasiwasi. Ila nilipenda sana utulivu wa Chelsea hata katika kipindi hicho. Walikuja kucheza mchezo waliokremishwa...kuikaba Chelsea iliyocheza na Middlesbrough/Everton/Man utd/etc... ndiyo maana mwanzoni walianza na kasi mno wakadhani ndiyo wameweza. Kila game linatakiwa lije na utaalamu wake...walicremu!
 
Willian na Ivanovic


Itoshe tu kusema, waendelee kuridhika na benchi kwa sasa.



Walau Oscar kidogo alionesha uhai.

Willian nina imani nae sana, najua kipindi cha mpito hiki ndio kimemvuruga tu kidogo. Ila atakaa tu sawa muda si mrefu yule ni mashine. Ivanovic ndio sioni kitu anafanya bora hata Ola Aina.

Ila kwa sasa yule miguu cherehani Pedro ameikamata namba, piga miguu yote, kokota mpita na mguu wowote anaotaka.
 
Kama ilivyopita October, November nayo imepita

November Result
Chelsea 5 - 0 Everton
Middleborough 0 - 1 Chelsea
Chelsea 2 - 1 Tottenham

Huyu Spurs ndo kachafua gazeti, ila hakuna shida.

On to the next one; December fixtures
Manchester city vs Chelsea
Chelsea vs West Brom
Sunderland vs Chelsea
Crystal Palace vs Chelsea
Chelsea vs Bournemouth
Chelsea vs Stoke city

December nayo naamini itapita vizuri bila shida, japo mechi nyingi kweli yaan
 
[QUOTnahisi Marcos Alonso anahitaji kukaza sana jana sijaona zile cross though alicheza vizuri ,ikutokea hii 11 inamajeruhi hawa benches wanaweza intergrate na kuleta matokeo maana jana zile sub tulizo fanya timu ililemewa,conte must look his squad depth uzu, post: 18651459, member: 162152"]Ili kukabilia Na mfumo Wa 3-4-3 anaotumia Conte timu pinzani lazima ihamia mbele ktk eneo lenu kuwakabiri. Wakifanya hivyo back line ya wachezaji watatu lazima izidiwe. Hivi ndio walivyofanya spurs Jana. Walikua wanapanda mbele sn tena Kwa makusudi mpk ikawa inawatia hofu wachezaji Wa Chelsea kupanda mbele Na kina Matic Na Kante wakawa wameelemewa Na pia timu ikawa pushed back Kwa nguvu sn.....

Sasa ili kukabiliana Na hali km hiyo lazima kutumike nguvu taratibu ya kumtoa adui ktk aeneo lako tena Kwa ushirikiano Wa timu yote Na ndicho walichofanya Chelsea na kurudi ktk mfumo wao Wa kawaida.[/QUOTE]
Bado nagis
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom