Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tunawakika tutauonyesha uwezo wa Hali yajuu kwa Tottenham hiyo tarehe 26November karibu tukae tayari the bluues
Jana nyie wenyewe mmeona.... Middlesbrough ni timu moja mbishi sn.... Lkn Jana nyie wenyewe mliona namna mpira tulivyowapigia mpk wakabaki ktk goli lao wamezunguka wanachungulia km mbwa koko.

Teh teh teh teh teh

Chelsea hatutaki utani kabisa safari hii....

 
Vidume 2 vinafuata jumamosi usiku totenham huyoo
Man city dec 3 huyoo
Tatizo match zinakua karibu karibu sana mwezi wa 12 na hii sio nzuri
 
Jana nyie wenyewe mmeona.... Middlesbrough ni timu moja mbishi sn.... Lkn Jana nyie wenyewe mliona namna mpira tulivyowapigia mpk wakabaki ktk goli lao wamezunguka wanachungulia km mbwa koko.

Teh teh teh teh teh

Chelsea hatutaki utani kabisa safari hii....

Ndugu yangu hiyo mechi uliiangalia kwa kutumia jicho moja au macho yote mawili?
 
Ndugu yangu hiyo mechi uliiangalia kwa kutumia jicho moja au macho yote mawili?
Vipi kwani? Middle waligeuka mbwa koko kwao kwani uongo? Statics zinaonyesha walikamstika ktk kila kitu kwani uongo?
 
Hatupotezi ata moja mkuu.

Forget about city mkuu. Our next business is spurs. So the team now is focusing on spurs and to see how we gonna kick them at Stanford Bridge.
Hatuitaki kupoteza hata moja ili kujitengenezea mazingira mazuri
 
Nilikuwa namwangalia Victor Moses Yule mwanadamu anafanya majukumu mawili lakini yupo huru kuliko akiwa anafanya jukumu moja...... Best Moses by the way.... Huyu ndiye atamtoa Conte machozi siku akipata injury katika kikosi chake.

Mnasema matic na kante wanakaba...? Asee kuna watu wanakaba matic na Kate wakasome..... Wale Boro wanakaba timu nzima mapaka unashindwa kujua yupi ni kiungo mkabaji asee 4:5:1 ya hatari..... Wakati wa kushambulia nao wanabadilika utafikiri sio wao waliokuwa wanakaba dah kuna timu nyingine ni mtihani tena wa hisabati hutakiwi kukutana nazo wakati unahitaji alama muhimu...

Kidogo tu Chelsea apate alama moja na pia kidogo tu Chelsea ashinde magoli mawili..... Mpira ni mchezo wa makosa na Diego Costa katumia makosa ya mabeki kutegeana mpira uliokuwa juu akafunga.... Alama muhimu katika wakati muhimu..... Mwache Conte akae kileleni maana kukutana na timu yenye kante na matic wengiiii na akapata point huna Budi kukaa kileleni.

Boro 0-1 Chelsea
 
Nilikuwa namwangalia Victor Moses Yule mwanadamu anafanya majukumu mawili lakini yupo huru kuliko akiwa anafanya jukumu moja...... Best Moses by the way.... Huyu ndiye atamtoa Conte machozi siku akipata injury katika kikosi chake.

Mnasema matic na kante wanakaba...? Asee kuna watu wanakaba matic na Kate wakasome..... Wale Boro wanakaba timu nzima mapaka unashindwa kujua yupi ni kiungo mkabaji asee 4:5:1 ya hatari..... Wakati wa kushambulia nao wanabadilika utafikiri sio wao waliokuwa wanakaba dah kuna timu nyingine ni mtihani tena wa hisabati hutakiwi kukutana nazo wakati unahitaji alama muhimu...

Kidogo tu Chelsea apate alama moja na pia kidogo tu Chelsea ashinde magoli mawili..... Mpira ni mchezo wa makosa na Diego Costa katumia makosa ya mabeki kutegeana mpira uliokuwa juu akafunga.... Alama muhimu katika wakati muhimu..... Mwache Conte akae kileleni maana kukutana na timu yenye kante na matic wengiiii na akapata point huna Budi kukaa kileleni.

Boro 0-1 Chelsea
Yale matoto hayafai kuna lile li Adam sijui ni bishi hilo...

Conte ni mjanja sn kwa kumuweka Moses ktk huo upande na pia Moses amekua akijituma sn yani mpk kocha anaona kua huyu jamaa sasa imetosha.
 
Hii ndio CHELSEA
Ni kama mafuriko vile,inapitia kila kilicho mbele yake!!

Who is next


upload_2016-11-21_9-32-33.png


[HASHTAG]#underarmour[/HASHTAG]
 
Nilikuwa namwangalia Victor Moses Yule mwanadamu anafanya majukumu mawili lakini yupo huru kuliko akiwa anafanya jukumu moja...... Best Moses by the way.... Huyu ndiye atamtoa Conte machozi siku akipata injury katika kikosi chake.

Mnasema matic na kante wanakaba...? Asee kuna watu wanakaba matic na Kate wakasome..... Wale Boro wanakaba timu nzima mapaka unashindwa kujua yupi ni kiungo mkabaji asee 4:5:1 ya hatari..... Wakati wa kushambulia nao wanabadilika utafikiri sio wao waliokuwa wanakaba dah kuna timu nyingine ni mtihani tena wa hisabati hutakiwi kukutana nazo wakati unahitaji alama muhimu...

Kidogo tu Chelsea apate alama moja na pia kidogo tu Chelsea ashinde magoli mawili..... Mpira ni mchezo wa makosa na Diego Costa katumia makosa ya mabeki kutegeana mpira uliokuwa juu akafunga.... Alama muhimu katika wakati muhimu..... Mwache Conte akae kileleni maana kukutana na timu yenye kante na matic wengiiii na akapata point huna Budi kukaa kileleni.

Boro 0-1 Chelsea

Watu wanamsifu Hazard kuwa amerudi kwenye form yake lakini mimi nasema V. Moses is the most improved player this season so far. Halafu mbaya ni akiumia yeye atakayecheza mafasi yake ni Ivanovic naogopa sana aisee...



Yale matoto hayafai kuna lile li Adam sijui ni bishi hilo...

Conte ni mjanja sn kwa kumuweka Moses ktk huo upande na pia Moses amekua akijituma sn yani mpk kocha anaona kua huyu jamaa sasa imetosha.

Adama Traore ana skills sema nahisi hajapata kocha mzuri wa kum-train kutokutumia nguvu nyingi plus kuongeza akili kwenye dribbling yake.

Ana nguvu na pace...akipata a good coach ana potential nzuri sana!



images
 
Watu wanamsifu Hazard kuwa amerudi kwenye form yake lakini mimi nasema V. Moses is the most improved player this season so far. Halafu mbaya ni akiumia yeye atakayecheza mafasi yake ni Ivanovic naogopa sana aisee...
Unachokisemaa kina ukweliii
 
Watu wanamsifu Hazard kuwa amerudi kwenye form yake lakini mimi nasema V. Moses is the most improved player this season so far. Halafu mbaya ni akiumia yeye atakayecheza mafasi yake ni Ivanovic naogopa sana aisee...





Adama Traore ana skills sema nahisi hajapata kocha mzuri wa kum-train kutokutumia nguvu nyingi plus kuongeza akili kwenye dribbling yake.

Ana nguvu na pace...akipata a good coach ana potential nzuri sana!



images

Ule upande atacheza Willian huyu Ivanovic na Terry wanaangalia beki Wa kati wale watatu. Kwasababu sasaivi Ivanovic hawezi kucheza mpira Wa kasi hivyo kwahiyo inabidi abaki ktk wale beck line watatu ili asikimbie sn. Ata hivyo hatocheza ktk nafasi ya Luiz atakua pembeni kwa Azp.

Nafasi ya Moses inaweza kuzibwa na watu wengi sn... Ata Pendro mwenyewe then kule mbele kwa pendro akakaa Oscar au Nath Chalobah
 
Ila Mentor ata Hazard kiwango chake kimerudi vzr... Na hii ni kwasababu ya kupunguziwa majukumu ya ukabaji uwanjani. Jamaa amekua vzr sn
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom