Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

mosses leo naona kama alikua kachoka choka flanii hivi. halafu Alonso bado sijamuelewa, najiuliza akikutana na Jesus Navas sijui itakuaje ............
Mose ndiye amepewa man of the match
 
Duh nilikuwa kanisani...nimefurahia ushindi!

Ngoja niangalie game ya AC na Inter milan kisha nitarudi kutoa mtazamo wangu
 
mosses leo naona kama alikua kachoka choka flanii hivi. halafu Alonso bado sijamuelewa, najiuliza akikutana na Jesus Navas sijui itakuaje ............
Navas hana njia kwa huo upande kwasababu akizidi sn atajikuta kawekwa kati na mtu 3 Matic Alonso na Cahill. Atapita wapi hapo sasa?
 
Navas hana njia kwa huo upande kwasababu akizidi sn atajikuta kawekwa kati na mtu 3 Matic Alonso na Cahill. Atapita wapi hapo sasa?

Upande huo wa kina Alonso huwa anatokea Sterling au nimekosea?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom