Anthony Conte..... Alichomfanya Kwado Asamoh kule Juventus ndicho anachomfanya Victor Moses hapa Chelsea.......
Alonso na Moses wanacheza juu pembeni ya mabeki watatu wa kati.... Hapa Moses na Alonso wanazuia kwa wakati lakini pia wanashambulia kwa mipango ila pia wanajaza idadi kubwa ya viungo eneo la juu ya wale mabeki watatu wa nyuma...... Ina maana wanatengeneza mstari wa viungo wanne pamoja na wale wawili wa chini (kante na matic).
Kwado Asamoh alikuwa ni inside ten pace(%) ila alishifti mpaka kufika katika left full wing back na sasa Moses anashifti mpaka kwenye right full wing back..... Talent workability inafanya kazi yake
Kukaba ni kazi rahisi sana ila kushambulia ndio kazi ngumu sana..... Kwa sasa Moses anafanya kazi rahisi ya kukaba pia anafanya kazi ngumu ya kushambulia......
Kwa kazi hizi tutaendelea kumuona Victor Moses Kila wikiend kwenye line ups za Tony sababu ya uafrica wake kwanza(roho ngumu katika kukaba) na katika ubora wake (ubunifu katika kushambulia......
Tulikusahau kabisa asee kama tunavyomsahau obi na Mikel.......