UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,886
Sasa hapa ndio naposema kua conte alikua mtu sahihi Sana kwenu
Kufunga mkuu 5-0Furaha yangu itakamilika akifunga na pedro
Mkuu unaweza kuanza sherehe, Pedro kishatupia goli la 5Furaha yangu itakamilika akifunga na pedro
Usiwe muoga mkuu hata kama inafanya vibaya wewe kacheki mpira tu, kidogo sasa hali ni shwariAngalau sasa naweza kuwa naangalia mechi zetu
Sisi twatupia tuuuu 16 goals bila kuingiza
Ulichoomba kimesikilizwaCha tatu cha Costa...sasa ili niwe na furaha kamili wamtengenezee Pedro nafasi...
Hapa nimefurahi pia nasubir cleenshetMkuu unaweza kuanza sherehe, Pedro kishatupia goli la 5