Kunguru Mjanja
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 2,047
- 3,978
- Thread starter
- #33,401
Kwanza kabisa hebu nikaribisheni manake ndo kwanza nabisha hodi humu , mimi mnazi wa chelsea hatari!
ILA KITENDO CHA DIEGO COSTA KUONESHA ISHARA APEWE PUMZIKO NA CONTE BADO SIJALIELEWA MANAKE HAPO MMOJAWAPO AKIJAA SUMU HUENDA TIMU IKASAMBARATIKA KIUSHIRIKIANO.
Karibu sana mdau huku ndo nyumbani kwetu......
kutokana na swali lako mkuu Mentor amekujibu vizuri tu. Kocha lazima aonyeshe yeye ndo mwenye maamuzi kwenye timu na yupo teyari kuchukua hatari zote kwa ajili ya timu. Japo Costa hakufanya kwa malengo mabaya