Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Wewe utakuwa umekisoma kitabu chetu na chenyu kinyume nyume. Ndio sababu ulipata ufahamu wa "kichina"/mistery kama mnavyouita utatu.
Vipi lini Conte anasindikizwa mlangoni na begi lake na nafasi kupewa yule kocha wa England kwa siku 67? Anko Sam.
Tehe tehe tehe kile chenyu ndo kiko mbele nyuma na kushoto kushoto...
Conte hatoki pale mpk tubebe ndoo ila usiniambie ndoo za segerea.

