Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,611
- 21,135
It is very very easy to deal with teams playing with 4-5-1 or 3-4-2-1 systems. Defenders wanadeal na Costa tuu na kazi inaishia hapo. We need to play with 2 strikers. Wake up Conte!
Hongereni kwa ushindi wa leo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Umeanza kumkubali mafiaso?Naona Conte mpaka sasa anatafuta kikosi...haya tumpe muda.
Hayo ni maandalizi ya kumkabili Mahrez, Drinkwater(maji ya kukula) na Vady. Au umeshazoea kupoteza mechi siku hizi?Hii nguvu tunayotumia kucheza na Hull ni aibu...too much hata kama wameanza msimu vizuri.
Hapo nyuma umeponda "nguvu" inayotumika dhidi ya Hull (timu ya Nonda) baadae unasema unapenda maguvu na mieleka ya Costa. Vipi Mentor-eee?Nimependa work rate ya Costa....na amekuwa mpole sana tese days bila kuathiri makali yake
Hapo nyuma umeponda "nguvu" inayotumika dhidi ya Hull (timu ya Nonda) baadae unasema unapenda maguvu na mieleka ya Costa. Vipi Mentor-eee?
Ukifungwa unatafuta mbinu mpya ili ushinde.tofautisha work rate na mieleka!!! why am I even bothering to reply...
Pole kwa kufungwa! bye