UrbanGentleman
JF-Expert Member
- Jun 19, 2016
- 2,584
- 1,886
Watu wanashindwa kukujibu maana wanajua wewe ni chizi, yaani kila mechi ya chelsea inafanyika darajani?
Watu wanashindwa kukujibu maana wanajua wewe ni chizi, yaani kila mechi ya chelsea inafanyika darajani?







Naona umeanza kuleta vitu vya Fesibuku JF !!View attachment 406435 PALE SHABIKI WA CHELSEA ANAPOULIZA NA CANTE ALIKUEPO!?
😀😀😀😀😀😀 Mkuu msamehe bure aisee! Wengine huwa wanataka tu waonekane kua na wao wapo katika hii dunia,ndio maana hujiandikia lolote tu, teh! teh!Watu wanashindwa kukujibu maana wanajua wewe ni chizi, yaani kila mechi ya chelsea inafanyika darajani?
😀😀😀😀😀😀 Mkuu msamehe bure aisee! Wengine huwa wanataka tu waonekane kua na wao wapo katika hii dunia,ndio maana hujiandikia lolote tu, teh! teh!
Kaka utasema yote hayo sababu tumefungwa, ukweli ni kwamba jana arsenal walijua fika kuwa chelsea wanakocha asiyeijua emirate so kilichofuata ni kumsurprise jamaa walikuwa very aggressive and very sharp ni kukimbia kila kona ulipo mpira hawakuwa na shida ya possession kabisa wakiupata ni mbio tuu, mourinho analijua hilo ndo maana huwa hataki mzaha emirate akipata droo huyoo anajisepea zakempira anaofundisha Conte wa kutumia wing zaidi badala ya kumiliki kiungo haufanyi kazi England, akiendelea hivi atafungwa sana mpaka na tu team tudogo.
Washiriki wa fasibuku ni kina nani!?Naona umeanza kuleta vitu vya Fesibuku JF !!
sio lazima kupost ili mradi tu na wewe uonekane upo!
Kaka sisi watu wa Soka kikwelikweli, Hebu nambie Chelsea mechi gani tulicheza na kushinda bila kusawazisha kwanza tena dakika za lala salamaAcha kukata tamaa kirahisi hivyo!
Kaka sisi watu wa Soka kikwelikweli, Hebu nambie Chelsea mechi gani tulicheza na kushinda bila kusawazisha kwanza tena dakika za lala salama
Kaka timu ina wachezaji Wazuri ila hawajaelewana kabisa, na ukiangalia vizuri unaona kabisa tuna shida ya kocha,
Jamaa wa Mancity kaibadirisha sana ile timu na ndio hapo unapoona kocha bora na sio bora kocha
Management ya Chelsea ilichangia Mourinho kuchemsha na sasa wanasababisha Conte achemshe.Conte hakupata wachezaji aliowaitaji(Bonucci,Koulibaly,Naingollan,Morata) .Cahill, Fabregas, Luiz hawafit kwenye mfumo wake
Pep amefanikiwa sababu wachezaji wengi aliowakuta wanafit kwenye mfumo wake (Silva, Sterling,wanaondokaStones, KDB, Kolarov, Gundogan,Fernandinho) ambao hawafit (Hart,Toure,Nasri, Bony, Mangala) alihakikisha wanaondoka
Tathmini ya Conte baada ya kukutana na "ngariba" Wenger.Khaaa mwaka jana na mwaka huu yawe yale yale hapana
















So unahamini Conte ni chaguo sahihi? Ngoja tuone kaka, inapaswa tuwe makini sana, tusije kuishia nje ya timu zinazoqualify kucheza Europe League kama msimu uliopita