Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kaka mwana Chelsea mwenzangu, hivi tatizo unaliona wapi, mimi binafsi naona hatuna Kocha kabisa, mechi zote tumekuwa watu wa kutoka nyuma kuja kusawazisha

Kocha mpaka leo hana kikosi cha kwanza, timu haina mfumo unaoeleweka, kila mchezaji anacheza kwa nguvu zake na uwezo wake, hakuna kabisa plan za kufunga zaidi ya kubahatisha tu

Kama tulimkosa Pep , kocha sahihi kwa Chelsea alikuwa Frank Rijkaard, huyu angetengeneza timu yenye mfumo ambao taita wetu anautaka

Kwa mfumo na uchezaji huu hata aeuropa League hatuendi
Pole sana...umeongea kwa huzuni kweli!
 
Ila Cahill anastahili kabisa...kabisa..,kukaa benchi. Ni heri Ivanovic acheze central defender.
Mentor
Naomba unijuze matokeo ya mechi "yetu". Mimi nilisahau kabisa leo, nilipiga usingizi.
Lakini kwa hii comment yako,bandugu, kamoyo kangu na ka-ayota kake kameanza kudhoofika. Vipi Arsenane ametutenda kitu mbaya?
 
Macho ya Conte yamekuwa madogo zaidi hata hayaonekani..!!!

BACK TANGANYIKA
Huyu Conte baada ya EURO alikwenda China, Korea na Japan. Inawezekana alifanyiwa upasuaji wa macho.

Link Antonio Conte leaving Italy for Chelsea is 'shameful' - Diego Maradona

Na habari za mpasuko (breaking news) iliyonaswa na ledio kifua inasema Mafiaso wa kirusi ametoa panga lake na ameanza kulinoa kwa hasira, huku akitaja taja jina la Conte na Konte. Ablahamivich amesikika akisema hawezi kuvumilia umafiaso wa kiitaliano.
 
Wacha tulie tu kocha hakuna hapa kabisa nilisema hatokuja kuifunga timu kubwa hata moja
 
Kule hakufai. Nipo huku kuna analyst nafuatilia uchambuzi wake.
Soma mauchambuzi yalishiba kama matumbo ya askari wa trafik.

Ila Cahill anastahili kabisa...kabisa..,kukaa benchi. Ni heri Ivanovic acheze central defender.

Mentor leo nimejua unashabikia wapi!!! Nilikuona kule kwa jukwaa ya "domokaya,mpayukaji" ukitoa ushauri kuhusu Pogba, mwanamitindo wa kuremba nywele. Leo nimesikia ametupia mpira wavuni, ni kweli?
 
Watu wana hasira humu....huu mchezo hauhitaji hasira wakubwa...
Mimi namsubiri Wacha1 aje hapa kujibu swali. Kuna vijana wanauliza, "mpira unafundishwa wapi?"

Dugu, Wacha1 popote ulipo, kokote uliko unatakiwa ujitokeze kwa dharura, Kalou, Mr. mind-the- gap anakuhitaji hapa jukwaani.
 
Ila tunaomba mamb yasianz kuwa kama y mwakajana 2...
Mamb y Transition period yanatia hasira 2...
 
Tukimbizane nin chelsea wangu, hyo michezo ya leicester, Inama kidogo shika magoti, mwenzio mesimama kama ngongoti.... mtoto jojo, co roboti... Emirates bingilibingili samasoti

Unantekenyaga ukinyonga chelsea.... unantekenyaga ukinyoooongaa

NAAAAFWAAAAZZZZZ
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom