Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ila anashinda this time...all London derbies this season.
Chelsea ipi hiyo anashinda this time all London derbies?

Kizaa zaa kikitamalaki, huwaga unapotea ,unaibuka siku ya kushinda "bahati nasibu". Tena kwa msaada wa red card ya mwamuzi.

Enzo anajua Chelsea chini ya Conte ni kugawa sadaka ya points tu kwa timu pinzani.
 
League Cup draw .........

Westham vs Chelsea
tutapiga Westham tuue ..........
Assaramu areku, Bwana asifiwe

Kuishi kwa matumaini....... West-Harm anafanya mazoezi ya kawaida ya kuvunja "ukunte".
 
Ni makosa makubwa ku-under-rate "The Hammers" hata kama msimu huu ni kama mwaka wa shetani kwao! Ninaheshimu London derbies!

Chelsea huwa haishindi kirahisi inapocheza na wenzao wa jiji la London: Arsenal, Spurs, Westham, Fulham, QPR, Crystal palace, etc.!
Ondoa arsenal Chelsea anashinda kirahisi kwa arsenal Hata Wenger anajua
 
Leo Chelsea tunapeleka Posa Emirates tuko na ugeni mzito umwandae huyo mwana mwali arsenal kumpokea mumewe Chelsea
 
Arsenal hawana uongozi, ni wafanya biashara na wachumi. Na wenger ndio uongozi.Na hakuna siku mashabiki watagoma kuingia uwanjani Arsenal wanapocheza kama ambavyo haikutokea wakati Mou alipokuwa anataka kuishusha daraja Chelsea, mashabiki wa Chelsea walikuwa wanamiminika kwa wingi, kila siku wakiwa na matumaini ya turn around, na kila mechi ilipomaliza waliondoka na majonzi.

Ni mashabiki wazembe tu huku Afrika, siku timu anayoishabikia ya ulaya ikifungwa anajinyonga, kule timu lao likifungwa hasira na majonzi yanamalizikia baa, wanakunywa beer, kulaani na kuimba tu siku imepita.
Sure 100 percent true
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom