Yaani siku hiz ushindi mpaka tusubiri usiku wa manane!!!!Bado kuna tatzo ktk beki,Conte kama gemu zijazo atamweka fab bench basi acheze yeye maana anatuchosha na ujinga wake wa kusubiri alfajiri ndio ashtuke,mechi zote fab anatakiwa aanze na mmoja wapo kati ya Matic au Kante kama wote wataanza basi Oscar akae benchi. Tofauti na hapo ni afadhali ya mwaka jana.