Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa mawazo yako ila kiukweli ivanovic kajituma sana leo .kwangu mm nampa pongezi.pia chelsea inaonekana wapo na nguvu zaidi mwaka huu kuliko msimu uliopita
As much as naipenda Chelsea , performance kama ya Jana haiwezi kutupa ubingwa, lazima mfumo wa Conte umuaccomodate Fab, jamaa ana jicho la final pass kuliko mchezaji yoyote pale Chelsea(Fact), interception za Kante ni muhimu sana awe first eleven, narudia tena kwa aina ya Mpira wa dunia ya sasa left back na right back lazima waweze kusaidia mashambulizi kutokea pembeni kitu ambacho Ivanovic anakosa, all in all tulikuwa strong Wakati wa kuzuia ila tuna mapungufu Wakati tuki counter attack haswa kwenye final decisive passes
 
As much as naipenda Chelsea , performance kama ya Jana haiwezi kutupa ubingwa, lazima mfumo wa Conte umuaccomodate Fab, jamaa ana jicho la final pass kuliko mchezaji yoyote pale Chelsea(Fact), interception za Kante ni muhimu sana awe first eleven, narudia tena kwa aina ya Mpira wa dunia ya sasa left back na right back lazima waweze kusaidia mashambulizi kutokea pembeni kitu ambacho Ivanovic anakosa, all in all tulikuwa strong Wakati wa kuzuia ila tuna mapungufu Wakati tuki counter attack haswa kwenye final decisive passes

Kwa mtazamo wangu..performance ya jana tukiwa serious na kufunga magoli tunashinda ligi hii ya kichovu.

For sure Ivanovic jana kacheza vizuri mno..defensively na attacking. Cha muhimu ni collective play - kama ya jana - yaani, wote mkabe wote mshambulie...nyuma abaki Terry na Cahiil (of course hata mimi pendekezo langu ni Kalidou Koulibally aje ili acheze na Zouma pale kati) Ila kwa right back...bado sijaona kwa kikosi cha sasa atakayemweka benchi Ivanovic (pamoja na kwamba naisema kwa huzuni)..tusubiri usajili msimu ujao tena ila hawa tulionao...ongeza STRIKER na KOULIBALY ONLY! EPL, FA, CARLING CUP zinatuhusu!!!
 
bora tungefungwa ili tusajili beki" beki sio nzuri kabisaa, jana hatukpata shambulizi ndio mana! tungepgwa shambulizi mbili yote yangekua magoli na ungemkataa huyo iva. ukitaka kujua beki ni mbovu" westham wasingetakiwa kupata hata goli. goal la Cahil lile .............. all in all hii chelsea ya sasa tukicheza na timu kama arsenal au man u! tutaua"



mtabiri mzur sana wewe lazima muue
 
3743F20400000578-0-image-m-57_1471304954846.jpg


Bado tunamhitaji...!

37444D1100000578-0-image-m-59_1471304968444.jpg


Hawa tuliowaona wameisha ndio waliong'aa jana...
 
Kwa mtazamo wangu..performance ya jana tukiwa serious na kufunga magoli tunashinda ligi hii ya kichovu.

For sure Ivanovic jana kacheza vizuri mno..defensively na attacking. Cha muhimu ni collective play - kama ya jana - yaani, wote mkabe wote mshambulie...nyuma abaki Terry na Cahiil (of course hata mimi pendekezo langu ni Kalidou Koulibally aje ili acheze na Zouma pale kati) Ila kwa right back...bado sijaona kwa kikosi cha sasa atakayemweka benchi Ivanovic (pamoja na kwamba naisema kwa huzuni)..tusubiri usajili msimu ujao tena ila hawa tulionao...ongeza STRIKER na KOULIBALY ONLY! EPL, FA, CARLING CUP zinatuhusu!!!


timu zote epl ni west ham lazima mchukue ndoo chelsea wakali sana.
 
CHAGUA MMOJA: Thamani 20 kwa 40, respectively!!!


3740C28B00000578-3741563-image-a-22_1471269605808.jpg


Chelsea are considering a move for Torino's Nikola Maksimovic as they look for a defender


370958C600000578-3741563-image-a-23_1471269632134.jpg


The Blues' move for Kalidou Koulibaly at Napoli has seen them become frustrated
 
umeona eeee......mwaka huku hats UEFA tunatinga....ngoja konte akae vizuri..kollibay atue pale..yule mpira wa adabu.....

Baada ya kuangalia mechi ya Jana nimegundua juzi nilipoteza ela kwenda kuangalia ndondo ya liva arsenal
 
Sidhani kama wachezaji wa Chelsea wapo tayari kurudia tena makosa ya last season,Go The blues Goooo.....
 
As much as naipenda Chelsea , performance kama ya Jana haiwezi kutupa ubingwa, lazima mfumo wa Conte umuaccomodate Fab, jamaa ana jicho la final pass kuliko mchezaji yoyote pale Chelsea(Fact), interception za Kante ni muhimu sana awe first eleven, narudia tena kwa aina ya Mpira wa dunia ya sasa left back na right back lazima waweze kusaidia mashambulizi kutokea pembeni kitu ambacho Ivanovic anakosa, all in all tulikuwa strong Wakati wa kuzuia ila tuna mapungufu Wakati tuki counter attack haswa kwenye final decisive passes

bonge la point" ............
 
Defence sio Cahill na Iva peke yake..ni collective display!

Kwa game ya jana walishindwa kushambulia kwa sababu mipira ilikuwa inazuiliwa katikati...so hata kuongelea kushambuliwa hakuna maana! Cha maaana ni kucheza hivi game zote...!

kwa gemu la jana sawa! wamecheza poa sana" ila sio gemu zote mipira itazuliwa katikati" ikitokea siku midfilderz hawajaamka poa" ile backline utaikataa, ndicho anachosema hata kalou ......... ila nisijudge kwanza" time wil tell.
 
Suala la kuzuiwa mipira kati kwa jana ilikuwa ni lazima sababu yule dogo aliyetoka leicester alifanya kazi ya ziada na pia ni m'bishi sana na mwepesi.ila bado tunahitaji kwenye umaliziaji kiukweli kuna weak kidogo
 
Chelsea midfielder Cesc Fabregas has ordered his representatives to reach out to Real Madrid president Florentino Perez to discuss the possibility of a sensational move to the Santiago Bernabeu, according to reports in Spain.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom