Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kumuacha Fab litakuwa kosa kubwa mno
Ipo siku twajuta ati
James hatatusaidia lolote lile
Ngoja tukae pembeni maana Conte na Mo hawana tofauti
 
Kumuacha Fab litakuwa kosa kubwa mno
Ipo siku twajuta ati
James hatatusaidia lolote lile
Ngoja tukae pembeni maana Conte na Mo hawana tofauti
ukiwa na james kwenye timu kama chelsea ambayo wafungaji ni wababaishaji ni sawa na kuwa na kombe sebuleni
 
Kumuacha Fab litakuwa kosa kubwa mno
Ipo siku twajuta ati
James hatatusaidia lolote lile
Ngoja tukae pembeni maana Conte na Mo hawana tofauti
Umeshasahau Costa ni pancha yule .. Akiumia Costa nani atamreplace ? James ataongeza option kule mbele
 
Maana nasikia kolibaly amesusia mazoezi napoli kwa ajili ya chelsea tu
Kitengo cha usajili cha chelsea naona ni jipu mi sina imani nacho
Kipindi kile J.stones mpaka alituma request ya kuuzwa everton na bado tukamkosa
 
Kitengo cha usajili cha chelsea naona ni jipu mi sina imani nacho
Kipindi kile J.stones mpaka alituma request ya kuuzwa everton na bado tukamkosa
Hilo ni kweli usajiri wetu unasuasua sana
 
37492F6F00000578-3742900-image-a-22_1471341489022.jpg


The new Man of the Match award!
 
Hongereni wana Chelsea wenzangu,
mechi haikuwa mbaya sana, ila kwa kweli tuna tatizo la strikers ambalo linaweza kurekebishika kirahisi bila kusajili wachezaji wapya ni kubadirisha mfumo tu
Tatizo la pili liko nyuma, hili ni serious kwa sababu linahitaji wachezaji wapya, Ivanovic umri umeshasogea na namba anayocheza inahitaji uwe fit kwani unakuwa ni mtu wa kupanga mashambulizi na pia kuja kukaba na speed hiyo sidhani kama anayo tena, bora kama angekuwa anacheza kati,

Terry na Cahil hawajawahi kuwa parters wazuri, kilichokuwa kinawasaidia ni ufitness wao, lakini sasa Terry keshachoka na kwa kweli kunahitajika mtu pale kati

Otherwise timu sio mbaya
 
mi ni sehem moja tu inaniweka njia panta, fab anahtajika sana uwanjan na mchango wake wote tunaufahamu, lakn pia huyu dogo kante nae mda wote yupo moto uwanjani, hachoki na ana straight pass mpka raha, sielew kwa kweli.
 
Hongereni wana Chelsea wenzangu,
mechi haikuwa mbaya sana, ila kwa kweli tuna tatizo la strikers ambalo linaweza kurekebishika kirahisi bila kusajili wachezaji wapya ni kubadirisha mfumo tu
Tatizo la pili liko nyuma, hili ni serious kwa sababu linahitaji wachezaji wapya, Ivanovic umri umeshasogea na namba anayocheza inahitaji uwe fit kwani unakuwa ni mtu wa kupanga mashambulizi na pia kuja kukaba na speed hiyo sidhani kama anayo tena, bora kama angekuwa anacheza kati,

Terry na Cahil hawajawahi kuwa parters wazuri, kilichokuwa kinawasaidia ni ufitness wao, lakini sasa Terry keshachoka na kwa kweli kunahitajika mtu pale kati

Otherwise timu sio mbaya
Timu ya ushindi ni ile ambayo ilicheza kipindi cha pili, baada ya kumalizika subs zote, pale kasi iliongezeka na ufundi pia nadhani uliona hata costa alibadilika na ndipo ilipelekea kufunga goli na pili. Kama conte atakua amelinotice hilo atakomaa na kikosi hicho.
 
Nawasalimu kwa mpigo wanamichezo wenzangu

Kwa wale wapenzi wa EP fantasy league, karibuni tupambane kwenye

Jamii EP League with codes 2598737-758046

Karibuni nyote!
 
Ngoja tusubiri kesho na Watford tuone, maana huwezi kukosoa sana kwa mechi moja.
 
3764D21200000578-3749222-Conte_and_Walter_Mazzarri_met_seven_times_in_Serie_A_with_Mazzar-m-19_1471621326310.jpg


Conte and Walter Mazzarri met seven times in Serie A, with Mazzari coming out on top once
 
Chelsea team v Watford: Courtois; Ivanovic, Cahill, Terry (c), Azpilicueta; Kante; Pedro, Oscar, Matic, Hazard; Diego Costa. #CFC

Sent from my MediaPad 7 Youth 2 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom