Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Halafu nimegundua antonio conte anajiamini sana natafakari tu kama ingekua kocha mwingine kuwatoa hazard na wiliani na oscar inakutaka uwe na roho ngumu muda ule na dk zile
 
1471296310955.jpg
hatari sana huyu mtu
 
Defence...midfield iko sawa sana. Especially defence...Ivanovic. Just wow!!!! Cahill very relaxed yani..Caroll haonekani na aerial balls hazipati kabisa.

Pale mbele tu...
Ivanovic ni janga, hayupo hata mwenye top 50 right , central or left defenders kwa sasa ,jamaa ni bonge la weak link kule nyuma especially when we attack
 
Ivanovic ni janga, hayupo hata mwenye top 50 right , central or left defenders kwa sasa ,jamaa ni bonge la weak link kule nyuma especially when we attack
Kwa mawazo yako ila kiukweli ivanovic kajituma sana leo .kwangu mm nampa pongezi.pia chelsea inaonekana wapo na nguvu zaidi mwaka huu kuliko msimu uliopita
 
Duh!! Mkuu Inaonesha bado mzimu Wa msimu uliopita bado unakusumbua.
Kweli kabisa mkuu, bado kichwa changu kimevurugwa. Ila nashukuru wale supersubs walipoingia waliongeza nguvu hatimaye tukashinda gemu.
 
Kwa mawazo yako ila kiukweli ivanovic kajituma sana leo .kwangu mm nampa pongezi.pia chelsea inaonekana wapo na nguvu zaidi mwaka huu kuliko msimu uliopita
bora tungefungwa ili tusajili beki" beki sio nzuri kabisaa, jana hatukpata shambulizi ndio mana! tungepgwa shambulizi mbili yote yangekua magoli na ungemkataa huyo iva. ukitaka kujua beki ni mbovu" westham wasingetakiwa kupata hata goli. goal la Cahil lile .............. all in all hii chelsea ya sasa tukicheza na timu kama arsenal au man u! tutaua"
 
Ivanovic ni janga, hayupo hata mwenye top 50 right , central or left defenders kwa sasa ,jamaa ni bonge la weak link kule nyuma especially when we attack

Unaangalia history au mechi ya jana!??
 
Jana Chelsea walicheza mpira mwingi mnoo tatizo umaziliaji tu. ...yaan kama tubgekuwa tunacheza na Bournemouth tungewapiga 5 nyauuu
 
bora tungefungwa ili tusajili beki" beki sio nzuri kabisaa, jana hatukpata shambulizi ndio mana! tungepgwa shambulizi mbili yote yangekua magoli na ungemkataa huyo iva. ukitaka kujua beki ni mbovu" westham wasingetakiwa kupata hata goli. goal la Cahil lile .............. all in all hii chelsea ya sasa tukicheza na timu kama arsenal au man u! tutaua"

Defence sio Cahill na Iva peke yake..ni collective display!

Kwa game ya jana walishindwa kushambulia kwa sababu mipira ilikuwa inazuiliwa katikati...so hata kuongelea kushambuliwa hakuna maana! Cha maaana ni kucheza hivi game zote...!
 
3744613400000578-3742008-image-a-109_1471298813160.jpg


Nimeipenda hii!

3743A6D400000578-3742008-image-a-52_1471292628921.jpg


Ila nikawaza...by the time msimu unafikia kati, atakuwa amebakiwa na sauti kweli!?? Anatumia nguvu nyingi..

3743C6DB00000578-3742008-image-a-73_1471294858671.jpg


Lakini kumbe kuna nyakati huwa anatulia..au hapa ni wakati wamesawazisha nini?

37438F4500000578-3742008-image-a-40_1471291834104.jpg


compare and contrast!!!
 
Niwapongeze the blues wenzangu kwa mpira wakutosha kutoka kwa vijana tusistahili ushindi wagonga nyundo walikuwa na Bahati kufungwa 2
 
Unaangalia history au mechi ya jana!??
Niliangalia zaidi ya dakika 70, narudia tena Ivanovic ni weak link ya beki yetu, haitachukua zaidi ya mechi tatu kukubali hii kauli unless Conte afanye mabadiliko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom