Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

4d.jpg
 
Wajameni mukuje hapa.

Bandugu Ntuzu, Mentor, Kalou, Root na dogo Enzo mmepata habari?

Mourinho, Mr. domokaya mpayukaji amekuwa "bubu" baada ya kipigo cha jana.

Duh, vipigo mfululizo, adhabu za FA zikichanganyika na laana ya Dr. Eva vimemfanya Mou kupata kigugumizi cha mdomo.

Ntuzu, "Alipo, nipo" atakaa sawa au atawekwa sawa tu, pole pole.

[h=1]Jose Mourinho: Chelsea boss refuses to speak after red card[/h]Chelsea manager Jose Mourinho refused to speak to the media after he was sent to the stands during his side's 2-1 defeat by West Ham.

Zaidi hapa BBC Sport - Jose Mourinho: Chelsea boss refuses to speak after red card
 
Tunahitaji mabadiliko,
Wanachelsea tumechoka kuwa mkia, miezi miwili imepita sasa hatujafika hata 10bora
Mkuu utakuwa umechoka peke yako wenzako kama Ntuzu Mentor et al bado wanaimani na safari yao ya matumaini.......
 
Last edited by a moderator:
Mwaka huu mtazowea tu.
 

Attachments

  • jose-mourinho-after-5-games-four-points-and-conceded-11-goals_o_5920335.jpg
    jose-mourinho-after-5-games-four-points-and-conceded-11-goals_o_5920335.jpg
    31.1 KB · Views: 26
2DBC353500000578-3289107-image-a-3_1445810663050.jpg


Diego Costa and Willian look dejected khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mtakonda tu.


2DBC7D9100000578-3289107-Mourinho_was_sent_to_the_stands_for_confronting_referee_Jonathan-a-9_1445811085151.jpg


2DBC7D9100000578-3289107-Mourinho_was_sent_to_the_stands_for_confronting_referee_Jonathan-a-9_1445811085151.jpg


2DBC7D9100000578-3289107-Mourinho_was_sent_to_the_stands_for_confronting_referee_Jonathan-a-9_1445811085151.jpg


Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


article-3289107-2DC8B07400000578-592_308x259.jpg


In the wings khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


 
I like mourinho as a coach and as a person kwa upande wangu itaniuma sana akifukuzwa me naona ni makosa ya wachezaji wenyewe na si kocha anyway let's wait and see what will happen
 
I like mourinho as a coach and as a person kwa upande wangu itaniuma sana akifukuzwa me naona ni makosa ya wachezaji wenyewe na si kocha anyway let's wait and see what will happen

''Weak and naive'' khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Tatizo la Mourinho ni manager wa makombe ....I mean Mourinho sio Kocha wa kujenga kikosi cha ushindani wa miaka may be kumi ijayo, anachojali ni kutwaa makombe kwa namna yoyote ile ya uchezaji...ilimradi point tatu...
Msimu huu wachezaji wako exhaust...na Mourinho ameonesha kuwa hana mbinu nyingine anaishia kupigwa fine kwa makosa ya kuwashutumu marefaree.
DOMINACE ya msimu mmoja tu mmechoka hivyo...je mngekuwa medominate for ten years kama Man u or Liverpool mngekuaje????
BTW haya ni maoni tu
 
article-3289709-2DCCBED000000578-373_964x390.jpg


Chelsick flops ... ..... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
article-3289709-2DCCBED000000578-373_964x390.jpg


Chelsick flops ... ..... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Dude i bet u r the happiest man on earth ryt now, umefurahi kweli!!! Haya mapito tu we will bounce back very sooooon
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom