Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ntuzu usikimbie... umemuona uliekuwa ukimtetea?
Mo is finished
Kama ccm tu imepita muda wake, sasa ni wakati wa mabadiliko

Nikimbie kitu gani? Nyie endeleeni kuongea hovyo tu
 
Last edited by a moderator:
Nikimbie kitu gani? Nyie endeleeni kuongea hovyo tu

Nadhani hata wewe umeelewa sasa yaani juzi draw akalalamikia refa, leo draw atalalamikia goal tech....
Na lazima atafukuzwa tu
 
Nadhani hata wewe umeelewa sasa yaani juzi draw akalalamikia refa, leo draw atalalamikia goal tech....
Na lazima atafukuzwa tu

Nielewe kitu gani? We endelea na msimamo wako na Mimi nitabaki na wangu tu
 
Hongereni WestHam wote kwa ushindi mlioupata, sisi Blues tupo kama tulivyo, na tuna tofauti ya point 12 na muongoza league, Ligi bado sana waungwana

Mou atakuwepo tu na wala hakuna shida, ni hali ya kawaida kwenye soka
 
Dear Chelsea,
Ours was Moyes, what's your excuse now? Maybe the real Special One was Eva Carneiro.
 
Dear Chelsea,
Ours was Moyes, what's your excuse now? Maybe the real Special One was Eva Carneiro.

Tatizo Morinho anajiona sana, yaani anajiona yeye ndio kila kitu...kaenda Real kaharibu akakimbia huku napo kaharibu anashindwa kimbia maana anataka apewe hela ndefu.. huyu jamaa katupeleka mbele step mbili afu katurudisha step 10 yaani Chelsea ndio yakushika nafasi ya 15 kwenye michezo karibia 10 daaah
 
Tatizo Morinho anajiona sana, yaani anajiona yeye ndio kila kitu...kaenda Real kaharibu akakimbia huku napo kaharibu anashindwa kimbia maana anataka apewe hela ndefu.. huyu jamaa katupeleka mbele step mbili afu katurudisha step 10 yaani Chelsea ndio yakushika nafasi ya 15 kwenye michezo karibia 10 daaah

tatzo la mou hana mbinu mbadala, ile kujiona yeye ndiye yeye, dharau na jeuri vinamponza, sijajua tatzo kubwa LA CHELSEA ni lipi, wachezaji ni wale wale waliochukua makombe mawili msimu uliopita, zaidi zaidi kaongeza wengine hata kama ni fatigue but this is too much, mbaya zaidi bosi alimuamini na kumuongeza mkataba mrefu
 
Arsenal fans thanking Chelsea for Petr
Cech.
Man United fans thanking Chelsea
for Juan Mata.
Man City fans thanking
Chelsea for De Bruyne.
Liverpool for sturidge.
 
herrera
Huyu jamaa ama dharaua sana alimtusi Wenger kuwa ni Specialist in failure...
Kuonesha Jeuri akamtimua Eva,
Wachezaji walimind sana
Alipokuwa anamweka Cech bench watu hawkauongea, leo hii Cech kawa lulu huko Arsenal...
Inabidi tu aondoke maana hakuna jinsi... tatizo Mou hataki katisha mkataba au kubali ondoka bila lipwa kwani kuna hela ndefu sana pale ndo maana hata club wanamwacha maana miaka 4 imebakia na wachezaji washakata tamaa tayari, wanaona hafai.....
 
Last edited by a moderator:
Ntuzu hataki kukubaliana na ukweli. Kuwa jahazi linazama.....
 
Last edited by a moderator:
Chelsea sio baba yangu wala mama yangu...


(In lowaaasaaa voice)
 
article-3287621-2DBD4D1B00000578-456_964x390.jpg


Poleni wakuu nasikia kelele zimepungua mjini ..
khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

2DBC2A4000000578-3287621-image-a-82_1445702311508.jpg


2DBC387300000578-3287621-image-a-87_1445702535535.jpg


2DBC3B0400000578-3287621-image-m-89_1445702787564.jpg


2DBBFD7800000578-3287621-image-m-53_1445701379721.jpg


2DBBA5F000000578-3287621-image-m-24_1445699130921.jpg


2DBBEF7200000578-3287621-Jose_Mourinho_and_Chelsea_coach_Silvino_Louro_were_also_sent_to_-m-46_1445700563678.jpg


Moureen (top centre) and Chelsea coach Silvino Louro were sent to the stands in the aftermath

of Matic's red card




2DBC1CA200000578-3287621-image-m-69_1445701820988.jpg



Wacha1 wacha uchokozi khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

2DBB84CD00000578-3287621-image-m-14_1445697648714.jpg



2DBB894D00000578-3287621-image-m-18_1445697684939.jpg



2DBC3DB300000578-3287621-image-a-90_1445702806386.jpg


Maumivu yakizidi mwoneni daktari wa wa JF Invisible Mungiki Brother au Mentor ing I d i o t s
Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee


Msisahau tu kesho kwa kisingizio cha msiba, nendeni kuliondoa Jambazi Sugu kwenye box la kura na kufuta sura yake kwenye uongozi wa Tanzania
 
Last edited by a moderator:
''Weak and Naive'' by Prof Arsene Wenger .... ..... .Ding ... Dong.
 
Yokohama FC hamuhitaji pole, siku hizi. Vipigo mmevizoea
 
Tunahitaji mabadiliko,
Wanachelsea tumechoka kuwa mkia, miezi miwili imepita sasa hatujafika hata 10bora
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom