Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mourinho kibarua kitaota nyasi muda si mrefu..... hahahaha nilidhani Arsenal tumeanza hovyo msimu huu kumbe tuna wenzetu Rentboys.
 
main_yokohama.jpg

Yokohama tires are not made to fit the broken down blue bus..
 
Peopleeeeeeeeeezzzzzzzzz aha !!! Kumbe niko humu The Bluuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz #KTBFFH
 
Ivanovic katika ubora wake...
KTBFFH
Kalou
Hali ya dugu yangu, Ntuzu ikoje?
Nilimuuliza msimu ulipoanza kiafya na kisaikolojia ameshajitayarisha?

Alinijibu kuwa hana mgogoro wa kiafya.

Haya matokeo ya leo pia ni "a fake result"?
Nasubiri kauli ya domokaya atasemaje leo!!
Au Pre-season friendly ndio zinaendelea?

Falcao alitamani kuwa shujaa leo, huenda atabahatika siku ingine.
 
Kalou
Hali ya dugu yangu, Ntuzu ikoje?
Nilimuuliza msimu ulipoanza kiafya na kisaikolojia ameshajitayarisha?

Alinijibu kuwa hana mgogoro wa kiafya.

Haya matokeo ya leo pia ni "a fake result"?
Nasubiri kauli ya domokaya atasemaje leo!!
Au Pre-season friendly ndio zinaendelea?

Falcao alitamani kuwa shujaa leo, huenda atabahatika siku ingine.

Don't bother yourself its a fake results.....lol
 
Peopleeeeeeeeeezzzzzzzzz aha !!! Kumbe niko humu The Bluuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz #KTBFH[color]

Buluuzziii walijitahidi kujiangusha angusha na kujigaragaza lakini leo mwamuzi hakutaka kuwabeba sana.

Huku mujini wanasema, wataisoma nambaaa!!!

Ntuzu amebadili Id na kuwa shabiki wa Man. City? Au ni msongo tu wa mamazo uliompoteza baada ya kipigo?
 
Msiba everywhere
Unasema katika ndimi? Timu yangu mimi Nonda imebomoa daraja na imechoma matairi ya Yokohama leo.

Msiba ni kwa Buluuziiiiii, Ntuzu, Mentore na Dugu ya Yaya.

Mimi nimefurahi hapa, nacheka bila kutoa sauti. Naogopa kulushiwa madongo na washabiki wa msimu!!
 
Buluuzziii walijitahidi kujiangusha angusha na kujigaragaza lakini leo mwamuzi hakutaka kuwabeba sana.

Huku mujini wanasema, wataisoma nambaaa!!!

Ntuzu amebadili Id na kuwa shabiki wa Man. City? Au ni msongo tu wa mamazo uliompoteza baada ya kipigo?

Leo sabato atasingizia ngoja kesho tumwache leo amalize Sabato yake aje atupe majibu......
 
Chelsea msimu ulopita pamoja na kuwa mabingwa lakini walifungwa magoli 32 na msimu huu tayari wamefungwa magoli 9.

Na Everton hawatomruhusu John Stones kwenda Chelsea.
Yule mrembo, doctor Eva alikuwa anawapa dawa hizi chezaji za Buluziii, sasa Mou itabidi akubali tu kumrejesha ili wachezaji warudishe mori.
 
Kalou
Hali ya dugu yangu, Ntuzu ikoje?
Nilimuuliza msimu ulipoanza kiafya na kisaikolojia ameshajitayarisha?

Alinijibu kuwa hana mgogoro wa kiafya.

Haya matokeo ya leo pia ni "a fake result"?
Nasubiri kauli ya domokaya atasemaje leo!!
Au Pre-season friendly ndio zinaendelea?

Falcao alitamani kuwa shujaa leo, huenda atabahatika siku ingine.

Bado ni pre season
 

Attachments

  • 1440865962239.jpg
    1440865962239.jpg
    24.7 KB · Views: 125

Similar Discussions

Back
Top Bottom