Juwaine
JF-Expert Member
- Oct 1, 2013
- 624
- 170
MWISHO WA MSIMU TUTAJUA FLAG YA NANI ITABAKI FLYING HIGH...
![]()
GO THE BLUES!!!!
Aina manouma
MWISHO WA MSIMU TUTAJUA FLAG YA NANI ITABAKI FLYING HIGH...
![]()
GO THE BLUES!!!!
Kwa vigezo vip??? Kukaaa miaka 26 bila kikombe?? Chochote au kuwa na vikombe vingi kuliko arsenal?? Maaana sijaelewa umetumwa factor ZIPI au kupata washabiki mwaka 2008
Kwa vigezo vip??? Kukaaa miaka 26 bila kikombe?? Chochote au kuwa na vikombe vingi kuliko arsenal?? Maaana sijaelewa umetumwa factor ZIPI au kupata washabiki mwaka 2008
THE BEST TEAM IN ENGLAND...MIAKA KUMI NA TANO NYUMA...!
bisha na hapo...
Kaka vipi tena?, wewe ulipouliza hilo swali uliweka vigezo unavyotaka?, wewe umeuliza Chelsea na Arsenal ndogo hipi?, na ndio umejibiwa Ndogo Arsenal
THE BEST TEAM IN ENGLAND...MIAKA KUMI NA TANO NYUMA...!
bisha na hapo...
Spurs mbna wazuri pia au
Hata mimi namshangaa huyu jamaa! Clueless fan...ukimuuliza mwenyewe alianza lini kushabikia hao Ars8 utakuta ni msimu ule wa invincibles! Siku hizi wamebakia kuchukua makombe ya friendlies tu....baada ya hapo wachezaji wote wanahamia hospitali!
Hata mimi namshangaa huyu jamaa! Clueless fan...ukimuuliza mwenyewe alianza lini kushabikia hao Ars8 utakuta ni msimu ule wa invincibles! Siku hizi wamebakia kuchukua makombe ya friendlies tu....baada ya hapo wachezaji wote wanahamia hospitali!
Hata mimi namshangaa huyu jamaa! Clueless fan...ukimuuliza mwenyewe alianza lini kushabikia hao Ars8 utakuta ni msimu ule wa invincibles! Siku hizi wamebakia kuchukua makombe ya friendlies tu....baada ya hapo wachezaji wote wanahamia hospitali!
In England??.......hahahahahaTHE BEST TEAM IN ENGLAND...MIAKA KUMI NA TANO NYUMA...!
bisha na hapo...
At least wewe umeongea ukweli in London city.......The first team in London city to win UEFA champions league cup!
Abishe NA hapo!
Fiorentina vip Mme wachapa?? Nasikia XUMA amekaza kama finalle
THE BEST TEAM IN ENGLAND...MIAKA KUMI NA TANO NYUMA...!
bisha na hapo...
Mmiliki wa timu yenu aliinunua Chelsea mwaka gan!?? Nikumbushe nimesahu mana Mi nakumbuka baada ya kuinunua game yake ya kwanza ya ligi kushuhudia mlipigwa sijui kama mnakumbuka??
In England??.......hahahahaha
At least wewe umeongea ukweli in London city.......
Ooh shit kwa vigezo vipi.??