Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tangu lini Wenger akamfunga Mourinho? Utakua unaota wewe

ila stoke,spurz,villa wanaweza,c ndio?ndo mana nakifananisha haka katimu na vitimu kongwe vya vpl teh teh teh

time za saa 2 ucku uwepo hapahapa tupeane feedback mkuu!
maneno mengi sio dawa usiwe kama kale katimu flani cha magazetini kalichokatwa juzi kagame cup!teh teh
 
ila stoke,spurz,villa wanaweza,c ndio?ndo mana nakifananisha haka katimu na vitimu kongwe vya vpl teh teh teh

time za saa 2 ucku uwepo hapahapa tupeane feedback mkuu!
maneno mengi sio dawa usiwe kama kale katimu flani cha magazetini kalichokatwa juzi kagame cup!teh teh

Nikupe no zangu za simu unitafute hapo badae?
 
12 kamili jioni kwa saa za afrika mashariki gunnerz tutakuwa tunamtia adabu maureen pale wembley!
kumbuka hatujapoteza mechi pale kwa misimu kadhaa sasa!
2013~2014 tulibeba f.a cup hapohapo
2014~2015 tulibeba f.a cup na communityshield ktk nyasi za wembley

jiandaeni kuchinjwa na washika mtutu wa london
wengervsmourinho1.jpg
 
ila stoke,spurz,villa wanaweza,c ndio?ndo mana nakifananisha haka katimu na vitimu kongwe vya vpl teh teh teh

time za saa 2 ucku uwepo hapahapa tupeane feedback mkuu!
maneno mengi sio dawa usiwe kama kale katimu flani cha magazetini kalichokatwa juzi kagame cup!teh teh

Aaaaaaaaah sasa usianze utani na Yanga!!! Hiyo timu kubwa mno.

Ni sawa na Taifa stars kumcheka Brazil kutolewa world cup!
 
nawasalimia nyie mashabiki mlioanza shabikia mpira mwaka 2008 maana katika mashabik wa ajab dunian ni chelsea yan wanajiona ndio tiiiiiimu boooora kumbe hakuna kitu ila leo natabir mtashinda maana arsenal ni timu uchwara
 
nawasalimia nyie mashabiki mlioanza shabikia mpira mwaka 2008 maana katika mashabik wa ajab dunian ni chelsea yan wanajiona ndio tiiiiiimu boooora kumbe hakuna kitu ila leo natabir mtashinda maana arsenal ni timu uchwara

Ko wameanza kushabikia 2008 hahaha
 
hehehehehehe defensive minded coach unadaiwa goli moja unahtaji kuchomoa unatoa beki unaweka beki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom