Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

10 days to go until the Champions start their defence of the Premier League title!

11822517_10153637929442259_2871920331613564933_n.png
 
Duh Benitez ana mke mbaya hivi!! Sikutegemea Latino wote waliojaa Spain jamaa ndo kaona aishie kwa huyu kata kichwa!!
 
hahaa! Yale maneno ya moo kwa mke wa benitez ni noma, sidhani kama atarudia kuropoka tena! nadhani aliteleza kwa kutokujua responsibility zake, moo kamnyoosha! football awaachie wanaoijua
 
hahaa! Yale maneno ya moo kwa mke wa benitez ni noma, sidhani kama atarudia kuropoka tena! nadhani aliteleza kwa kutokujua responsibility zake, moo kamnyoosha! football awaachie wanaoijua

Mhhh!!! Haipendezi hata kidogo mwanaume kurushiana maneno na mwanamke........Hapo Mou kachemkaaa!!!!
 
hajachemka mkuu, maneno ya moo huwaga ni figurative! umeharib kumsikiliza kwa makini nkagundua yale mawe karushiwa hata benitez..
 
Mhhh!!! Haipendezi hata kidogo mwanaume kurushiana maneno na mwanamke........Hapo Mou kachemkaaa!!!!

He only told her one sentence, "take care of ur husband's health" mengine yote alikuwa anaelezea career yake.

Wamerushiana maneno saa ngapi? #hater
 
He only told her one sentence, "take care of ur husband's health" mengine yote alikuwa anaelezea career yake.

Wamerushiana maneno saa ngapi? #hater

Alikuwa na Sababu gani ya kueleza yote hayo nani asiyejua CV yake ? Hiyo yako uliyosema si hivyo umetumia polite English leta direct aliyosema Mou.....
 
"for her also to think about me, I think she needs to accupy time. if she takes care of her husband's diet, she will have less time to speak about me."
mkuu soma hapo juu utagundua hilo pia ni dongo kwa benitez ukivuta picha na ule unene wake wa sasahivi
 
"for her also to think about me, I think she needs to accupy time. if she takes care of her husband's diet, she will have less time to speak about me."
mkuu soma hapo juu utagundua hilo pia ni dongo kwa benitez ukivuta picha na ule unene wake wa sasahivi

Wewe ndo umeeleza ukweli, lakini si neno zuri ati!! Tukianza kulichambua mhhhh!!! Na kitambi kile cha Benitez..mhhh......Mou anatisha!! Hilo neno kali sana kwa mwanamke bora angekuwa Benitez mwenyewe.....
 
hahaa! nachompendea huwaga haungeo uongo, mke anayejali afya ya mumewe hawezi kumwalisha mume wake anenepeane vile
 
hahaa! nachompendea huwaga haungeo uongo, mke anayejali afya ya mumewe hawezi kumwalisha mume wake anenepeane vile

Hiyo ni side B , lakini side A neno kali sana kwa mwanamke hilo japokuwa ni ukweli haipendezi mkuu usitetee japokuwa limesemwa na Manager wako, neno hilo siyo nzuri wazee wa tafsiri tukilichambua ni aibu !!!
 
mkuu hili ni somo kwa wale wanawake waropokaji..my take..usirushe mawe wakati unaishi nyumba ya vioo

Always women are weak just consider this.......na wanakera Haswaaa!!! Lakini ukiwajua hutojali....
 
ni kitu kibaya sana kulitambua tatizo lako then unakaa nalo milele na kuendelea kuliamn! who taught u to believe that women are weak..! duh! mkuu naona tunahama keys tujiandae jumapili kumtungua gonnaaa
 
Wewe ndo umeeleza ukweli, lakini si neno zuri ati!! Tukianza kulichambua mhhhh!!! Na kitambi kile cha Benitez..mhhh......Mou anatisha!! Hilo neno kali sana kwa mwanamke bora angekuwa Benitez mwenyewe.....

Hebu niambie Jumapili upo na mimi na Ntuzu ama utakuwa na rubaman na Rutashubanyuma!??
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom