Mh! Kwako si ni wifi!???
Hahahaaa bangiiii ujue nini ukikaa na wanaume unajiona na wew mwanaume
Mh! Kwako si ni wifi!???
Inaonekana kama ndio msimu wa mwisho wa JT
Hahahaaa bangiiii ujue nini ukikaa na wanaume unajiona na wew mwanaume
Hahahaha!!! Wewe utakuwa me unatuzuga humu......!!!!
Hahahaha!!! Wewe utakuwa me unatuzuga humu......!!!!
Hahaahaaa inawezekana aisee...
Ila ningekuwa me ningesha chomoka na wew
Mambo? Uko pouwa mrembo?
Hahahahahahaha!!!!! Wewe mtoto hiki cha Arusha cha Leo mbona kikali embu kidilute kidogo.........umeniulia mbavu zangu....... Mimi ningekuwa me wewe ungenikoma walahi!!!!
Na ulivyo na mahipsi na usafiri mweee akynaniiii ningekuhonga adi ukoo wetu.
Nakutamani ujue..
Hahahaahaaa
Hahahhahahha!!!! Haki ya mama najuuutraaaaa kukuchokoza mbonaaa!!!!!........ujue naonekana kama kichaa hapa nilipo kwa kicheko!!!!
Hahahaaa ngoja nisamehe mbavu zako. twende kule kwetu Watu hapa wapo kwenye maombolezo si unaona kazi zote zimestop? Kumbe msiba bado haujaishaa. Hahahaaa
Na kweli Uzi huu utafika hata page 5000 tukiendelea kukaa humu....
Mbona huyo huku ndo kwake ukimwona kule ujue ligi zimeisha.kumbe na huku huwa unafika, nikajua unaishiaga kule kule kwa kina charty na G3T
Mbona huyo huku ndo kwake ukimwona kule ujue ligi zimeisha.