Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

sasa nimerudi; ngoja turudi kwenye mpira..

ili jukwaa lichangamke;

naomba mkuu Ntuzu utoe mada tujadili jamani....

:A S soccer:
 
Nimeona ratiba tunaenda America kwa pre-season...

na 'the beast' RADAMEL FALCAO atavaa # 9.

hii jezi inasumbua sana kwa miaka 10 iliyopita..tehe tehe tehe ngoja tuone kama huyu jamaa ataitendea haki..
 
sasa nimerudi; ngoja turudi kwenye mpira..

ili jukwaa lichangamke;

naomba mkuu Ntuzu utoe mada tujadili jamani....

:A S soccer:


Ningependa tujadili kuhusu ujio Wa Falcao hapo darajani. Kwamba anaweza akarudisha makali Yake au vipi?
 
kwa ujio wa FALCAO naona kama mechi nyingi itabidi tucheze 4-3-3 ili kuwapa nafasi FALCAO, DIEGO COSTA NA EDEN HAZARD kucheza kwa pamoja mbele...

ila kuna watu watapata shida ya kupata namba..mfano WILLIAN na OSCAR na CUADRADO.

ndo maana bado mfumo wa 4-2-3-1 bado ni mzuri zaidi kwa chelsea..
 
Makali ya mchezaji yanategemea mambo kadhaa:

1. Kujiamini kwa mchezaji mwenyewe..
2. Mfumo wa timu husika.
3. Ushirikiano anaopata kutoka kwa wachezaji wenzake nje na ndani ya uwanja.
4. Imani ya kocha wa mchezaji husika.




Ningependa tujadili kuhusu ujio Wa Falcao hapo darajani. Kwamba anaweza akarudisha makali Yake au vipi?
 
Ninapomwangalia Falcao;

nina imani atarudisha makali yake japo kwa 75% ya vile alivyokuwa Atletico Madrid.

Kwa nini nasema hivyo?
1. Anataka kutumia fursa hii kuthibitisha kwamba Man Utd walikosea kutompa mkataba wa kudumu.
2. Style ya kucheza ya Chelsea inaendana na aina ya mpira wa Falcao..Ikumbukwe Atletico wamekuwa wakicheza hivyo..
3. Enzi za 'mtaalam' JUAN SEBASTIAN VERON fundi huyu wa kiungo alichemka Man Utd; na akahamia Chelsea Fc..ambako 'angalau' alifanya mambo..chini ya kocha Ranierri ambaye amehamia LEICESTER CITY 'FOXES' ...
 
kwa ujio wa FALCAO naona kama mechi nyingi itabidi tucheze 4-3-3 ili kuwapa nafasi FALCAO, DIEGO COSTA NA EDEN HAZARD kucheza kwa pamoja mbele...

ila kuna watu watapata shida ya kupata namba..mfano WILLIAN na OSCAR na CUADRADO.

ndo maana bado mfumo wa 4-2-3-1 bado ni mzuri zaidi kwa chelsea..

Kutokana na hoja zako hapo juu km atapata ushirikiano mzuri ktk kila sehemu
Ulizo zitaja anaweza akarudi ktk makali Yake!

Unawambiaje mabeki Wa timu za EPL watatuzuia kweli? Au ndo tutakua tunawafunga goli 4 5 kwa kwenda mbele?


Makali ya mchezaji yanategemea mambo kadhaa:

1. Kujiamini kwa mchezaji mwenyewe..
2. Mfumo wa timu husika.
3. Ushirikiano anaopata kutoka kwa wachezaji wenzake nje na ndani ya uwanja.
4. Imani ya kocha wa mchezaji husika.


 

Huenda alikuwa 'dead wood' akiwa Man Utd..

FALCAO afunge goli 10 kwenye ligi zinatosha CHELSEA FC kutetea ubingwa..

Maana hapo Hazard, na Diego watajazia magoli yanahitajika kwa bingwa; usisahau kwamba mabeki wetu ni wafungaji pia.

Falcao ni dead wood kwa kiyunani. Naamini ni back up kwa Costa.
 
FALCAO ni bonge la mchezaji; ...

kushindwa kung'aa Man Utd haimaanisha si mchezaji bora..

kwa sababu hata kikosi kizima cha man utd msimu ulopita kilicheza 'avarage' sana tu.

na si falcao peke yake aliyeshindwa kung'ara; vipi kuhusu huyu ANgel di Maria?

Kwa CHELSEA FC; huyu FALCAO atakuwa moto wa kuotea mbali; tunaanza na ARSENAL FC kwenye 'ngao'
 

Huenda alikuwa 'dead wood' akiwa Man Utd..

FALCAO afunge goli 10 kwenye ligi zinatosha CHELSEA FC kutetea ubingwa..

Maana hapo Hazard, na Diego watajazia magoli yanahitajika kwa bingwa; usisahau kwamba mabeki wetu ni wafungaji pia.

Falcao anakuja kuwa backup striker,striker no 3 nyuma ya Costa na Remy.Kiwango chake Falcao alikuwa anafunga magoli 30+ hata walivyokuwa Atletico Costa alikuwa anaanza benchi Falcao anaanza now imekuwa vice versa
 
Naam; hata JUAN MATA amekuwa mchezaji 'bora' kwenye timu yako ya MAN UTD baada ya CHELSEA kumtumia weeee hadi kumchoka.

tena tukakuuzia wewe kwa M.37

tehe tehe tehe ndo maisha mkuu; yule unayemwona wewe wa kazi gani? wenzako wanauliza watampata lini..

ama vipi mkuu?


Falcao "The beast " baada ya kuhamia Chelsea ?
 
Belo hata nyie mmenunua yule 'babu' kutoka Bayern..

kwa malengo yenu..

sisi mabingwa; tunaboresha tu hapa na pale ili tuutetee ubingwa wetu..

karibuni kwenye LIGI YA MABINGWA..
 
😛opcorn: baadaye wadau...

cc; Ntuzu, Mentor, Belo...

Pamoja sn Mkuu agosti 8

Mi niko kwa mkoloni kidogo badae ntapita hapa kuongeza mawili matatu ktk hoja zako!

Nashukuru sn Mkuu!
 
Last edited by a moderator:
CHELSEA IN MONTREAL...

2A90CCCE00000578-3162432-image-a-49_1437002470153.jpg


Cesc Fabregas pictured arriving in Canada as Chelsea got their pre-season tour going on Wednesday


2A90CCC400000578-3162432-image-a-48_1437002466036.jpg


Manager Jose Mourinho and his Chelsea squad touched down in Canada on Wednesday night
2A8E733700000578-3162432-The_travelling_Chelsea_squad_posed_for_a_photograph_before_flyin-a-72_1436971395884.jpg


The travelling Chelsea squad posed for a photograph before flying to Montreal ahead of their pre-season tour
2A8ECBC800000578-3162432-image-a-2_1436972099139.jpg


Blues defender Branislav Ivanovic was sporting a thick beard and shaved head as he boarded the plane
2A8ECBBF00000578-3162432-image-a-4_1436972138745.jpg


John Obi Mikel's future at Chelsea has been in doubt, but the Nigerian travelled to Montreal with the team
2A8ECC1400000578-3162432-image-a-6_1436972176083.jpg


Victor Moses, who spent last season on loan at Stoke, will be hoping to impress during the trip
2A8ECBB700000578-3162432-image-a-8_1436972237469.jpg


Nemanja Matic climbs the stairs to the plane as the Chelsea squad left Gatwick airport on Wednesday
2A8ECB7400000578-3162432-image-a-10_1436972326126.jpg


Spain striker striker Diego Costa boards the team bus at Chelsea's Cobham training base
2A8ECBA300000578-3162432-image-a-12_1436972631320.jpg


Chelsea's star man Eden Hazard is followed by compatriot Thibaut Courtois before boarding the bus
2A8ECBA700000578-3162432-image-a-14_1436972728974.jpg


Brazilian ace Oscar is followed by Blues youngster Ruben Loftus-Cheek and former goalkeeper Hilario (left)

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom