everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Kama kuna jezi za bei che kuliko zote ni jezi za SIMBA...hebu niambie ni shule ngapi hapa bongo zinatumia hizo jezi? #achaWIVU.
Waliosimama kuanzia kushoto...
1. Carvalho
2. Geremi
3. Gallas
4. Cuducini
5. Gudjhonsen
6. Lamps
Waliochuchumaa kutokea kushoto;
7. Crespo
8. Makele
9. Robben
10. Ferreria
11. Duff
Kumbe Simba nilifikiri MU nilikuwa nimeokota bonge la jiwe!!!!!!.....Hamna bana jezi zenu ndo hivyo tena kwa timu za nje shule zote za kina Mey wanatumia cha ajabu siku hizi hadi kanumba wanachanganyia na za Taifa stars.