![]()
I WILL SURELY MISS HIM...
Ukiona hivyo hazifai very cheap mpaka zinachezewa hofyo hofyo !!!.....Nigeria mbali hapa hapa bongo nursery kibao za mitaani wanazitumia, vere vere chip......lol.....nakusalimu tu dear.
And he scored same way dat same day, respect king Drogba
![]()
Wewe tengua kauli yako. Utaniuzi mamito!
ni kweli muda kidogo kwa wale walikuwa hawajaanza kucheki game naweza kuwapa baadhi ya wachezaji hawa waliochuchumaa kutoka kulia Damian Duff, (Huyu nimemsahau); Arjen Robben; Claude Makalele (Moyo wa kiungo); Herman Crespo![]()
GOOD OLD DAYS....
Nimepotea sn humu jamani! Yani mikwara yenu na vurugu zenu nimezimithi.....!
Wapi mutoto cute b? Mpe Hi sn Bi mdogo huyo!
ni kweli muda kidogo kwa wale walikuwa hawajaanza kucheki game naweza kuwapa baadhi ya wachezaji hawa waliochuchumaa kutoka kulia Damian Duff, (Huyu nimemsahau); Arjen Robben; Claude Makalele (Moyo wa kiungo); Herman Crespo
Waliosimama toka kulia - Frank Lampard (Jembe la kiungo mshambuliaji; Edger Gudjohnson, Cudicini; William Gallas; Geremi ; huyo wa mwisho nimemsahau.
Tumekumithi pia .....hilo jukwaa lenu dogo linawafanya msikuje huku.....huwezi amini cute b naye sijamuona long ila rada yangu inaonyesha yuko celebrity forum kwa kiba kama si Mond......
Huyo ni Ricaldo Carvahlo
Ukiona hivyo hazifai very cheap mpaka zinachezewa hofyo hofyo !!!.....Nigeria mbali hapa hapa bongo nursery kibao za mitaani wanazitumia, vere vere chip......lol.....nakusalimu tu dear.
![]()
GOOD OLD DAYS....
Yule wa simba sijui Yanga au???......hahahaha nimekumith wewe jamani uko poa?...... Wachezaji WA bongo wananiudhi sana wanatumia majina makubwa halafu hawayatendei haki....aka Messi wa Simba vere kuwachanganya watoto wetu wanashindwa kujua Messi mwenyewe ni yupi....
Kama kuna jezi za bei che kuliko zote ni jezi za SIMBA...hebu niambie ni shule ngapi hapa bongo zinatumia hizo jezi? #achaWIVU.
Waliosimama kuanzia kushoto...
1. Carvalho
2. Geremi
3. Gallas
4. Cuducini
5. Gudjhonsen
6. Lamps
Waliochuchumaa kutokea kushoto;
7. Crespo
8. Makele
9. Robben
10. Ferreria
11. Duff
Kwendràaaaaaaa!!!!! Nani wa maana mlimuuza???..... Subirini kama mna kismati na Arsenal timu zote walizouza Arsenal wameosha ila nyie mna gundu Welbeck ikakataa kwa UCL but ohh! Ikakubali EPL na style ya bus.....lol......hapa nimekukiss tu dear......
After parking bus ...........!!! Rent boyz kwa misifa hamjambo,very antfutbol......boss wenu mwenyewe alitukubali anamwambia huyo Mou wenu anataka kufurahia soka........ just a hug now......lol