Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Yeah mkuu ila hebu tuone kwanza michango ya wadau wengine inaangukia kwenye mwezi upi
Yes hakuna mbaya Mkuu!
Yeah mkuu ila hebu tuone kwanza michango ya wadau wengine inaangukia kwenye mwezi upi
Mamy tatizo si hela kwasababu Ata km tukiwa hatuna hela wewe mama watoto huwezi muacha baba watoto aangaike lazima uingie kwa mfuko utoe japo kiduchu.
Wadau hawana ushirikiano Wa kuwasiliana nje ya Jf lkn kwakua hili wazo liko hapa Sasa ni vema tulisukume mbele tuone tutafanikiwa VP!
Manumbu mi Niko tayari na Niko Dar Sasa tujaribu kuwasiliana na wadau na mashabiki walio nje ya dar tuone tunafanya nini!
Mkuu Ntuzu asante kwa inputs za mbolea mno hapo juu. binafsi napendekeza wewe, Mentor na August8 kama yupo mchukue hili jukumu la maandalizi ya hii party. nyinyi na magwiji wa miaka kenda rudi wa hapa jukwaani na mna portfolio kubwa ya wana Blues. Mimi nilitoa tu wazo kama kuchokoza na kuona how viable it can be. Si mbaya tukaonana na si mbaya tukajuana pia. On that ntakutafuta pembeni ili tuonane na tuone logistics zifanyweje
Okey sisi tunawasikiliza nyie ila jana pia cute b alikuja na idea moja tukutane wanasoka wote haijalishi timu gani tufahamiane ,basi mnalionaje hilo? Halafu mumo kwa mumo tunawapongeza Chelsea wote kwa pamoja coz sisi siyo maadui,tunakua tumeua ndege 2 kwa jiwe moja.....
Wakuu wazo ni zuri, nimeafiki... Pendekezeni tu tarehe ila ziwe za wikiendi Mimi nitakua pa1 nanyi japo sasa hivi huku mambo ndo yameanza na nimepewa kombania.
Mkuu pole na majukumu!
Nakufata sasaivi pm kukupa no zangu then ntasubiri unitafute
Mi siko bongo kwakweli sina la kuchangia hapa,ingekuwa mwezi August ningeweza
Sawa bro
Halafu matani mengine si mazuri mm naushawishi gani?😀 , sasa nyie mnatutega loh!!! Ngoja niwasiliane na cute b
Babito unanijua vizuri mimi siyo mzuri wa kulianzisha Bali kuliendeleza tafadhali nakabidhi jukumu hili kwa my cute b alifanyie kazi kisha mimi nitaliendeleza.Pamoja mkuu.
Kazi ndio imeanza nicheki huko pm Mkuu!
Alafu Manumbu create Kundi la wasapp ili wadau wote tunaopata no zao tunawaingiza ktk hiyo group moja kwa moja na inakua njia rahisi ya kupashana habari. Na pia wengine tutakua tunawasiliana nao kawaida.
Mamito mimi babito ndio najua nguvu yako ya ushawishi uliyonayo!
Anza na BAK na Eli79 na RRONDO na kitwala herrera haki kisha hawa wadau umewasiliana nao ili tuone wapenzi Wa soka tunakutana pamoja!
Cc Nzi Mbu Earthmover Bulldog
Hahahaaaaaaa haupo bongo???
Mkuu ntakucheki pm nikupe no zangu.
Viol Mentor Kituko hawa wadau ntawapata kirahisi Manumbu nahitaji no yako ya sim haraka
kunguru mjanja Grand PA Root [MENTION=na wadau wengine mnicheki pm[/QUOTE]
mkuu Manumbu heshima kwako kwa kuja na hii idea binafsi nimeielewa sana, ningependa sana tena sana nishiriki kwenye hii mambo coz futball is part of my life, but bahati mbaya sipo dar mkuu nipo dom and i will be here for almost 3 weeks then nageuka mbeya (home) kuna mambo naifanya ambayo kidogo ina ni keep busy, but kwa lolote mtakalolifanya guyz plz contact me nipo tayari kuchangia mawazo na hata kutoa chochote pale kitakapo hitajika.
Ntuzu, Manumbu Mentor Wacha1 everlenk Bulldog cute b RRONDO Nzi Root b5-click na wengneo wadau wa epl toeni ushirikiano kwa hili, CEO Ntuzu big up sana