Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Who is telling the truth?
View attachment 248958
umeielewa vizuri hiyo picha? Kwa kifupi hakuna timu yoyote ile ya EPL itakayo ifikia Chelsea kwa idadi ya point msimu huu utakapomalizika. Kwa maana hiyo tarehe 24/05/2015 EPL itakapomalizika itakuwa imechukkua siku 273 kumalizika msimu wa 2014/2015 ambapo chelsea imekuwa kileleni kwa siku 273.




CEF4JJ7WgAAtuEo.jpg
 
Wakuu wa Stamford Bridge!!

Nachukua fursa hii kuwapa Hongera kwa kufanikiwa kutwaa Ubingwa leo hii, Hongereni Sana!!Tulianza pamoja Mmemaliza Mabingwa, Mlistahili, Hongereni Sana Chelsea Football Club:yo:!!

FAIR PLAY.........

Tukutane tena kwenye mbio mpya Next Season

Asante, football ni furaha, mengine yote ni kunogesha jukwaa tu.
 
Wakuu wa Stamford Bridge!!

Nachukua fursa hii kuwapa Hongera kwa kufanikiwa kutwaa Ubingwa leo hii, Hongereni Sana!!Tulianza pamoja Mmemaliza Mabingwa, Mlistahili, Hongereni Sana Chelsea Football Club:yo:!!

FAIR PLAY.........

Tukutane tena kwenye mbio mpya Next Season

Asante sn mkuu
 
umeielewa vizuri hiyo picha? Kwa kifupi hakuna timu yoyote ile ya EPL itakayo ifikia Chelsea kwa idadi ya point msimu huu utakapomalizika. Kwa maana hiyo tarehe 24/05/2015 EPL itakapomalizika itakuwa imechukkua siku 273 kumalizika msimu wa 2014/2015 ambapo chelsea imekuwa kileleni kwa siku 273.




CEF4JJ7WgAAtuEo.jpg

Sasa mbona hukutoa maelezo yote hayo mwanzo?!? Maana msimu haujaisha, halafu wewe uliweka picha yenye kuonyesha hadi mwisho wa msimu!!

Nimeelewa sasa rentboy
 
b5-click niko hapa Mkuu. Sijui ata niseme nini labda Nonda atakuja kunisaidia.
Leo ni siku ya msiba kwa wapenzi wa mpira wa miguu. Timu ambayo imegeuza mpira wa miguu kuwa rugby na mieleka na pia ku-pack basi kuwa ndio mbinu ya ushindi ndio imenunua ubingwa kwa bahasha.

Kwa wale wanaopenda timu inayocheza rugby na mieleka kwenye ligi ya mpira wa miguu nimpeni hongera kwa kufanikiwa kuharibu utamu wa mpira wa miguu.

Tufurahi pamoja na kuipongeza timu ya mieleka kwa kuhadaa wapenzi wa mpira kuwa wanacheza mpira wa miguu.

Sasa tusubiri mdomo wa Mou kuwa kama mdomo wa bata.

Usikwazike Ntunzu na Mentor. Hongera kwa kuchukua ndoo "kivyovyote".

Lini nikuletee na zile mbili za Segerea ili iwe Quadruple?

Nasubiri hapa wapenzi wa wacheza rugby watakavyonisulubu. LOL.
 
Leo ni siku ya msiba kwa wapenzi wa mpira wa miguu. Timu ambayo imegeuza mpira wa miguu kuwa rugby na mieleka na pia ku-pack basi kuwa ndio mbinu ya ushindi ndio imenunua ubingwa kwa bahasha.

Kwa wale wanaopenda timu inayocheza rugby na mieleka kwenye ligi ya mpira wa miguu nimpeni hongera kwa kufanikiwa kuharibu utamu wa mpira wa miguu.

Tufurahi pamoja na kuipongeza timu ya mieleka kwa kuhadaa wapenzi wa mpira kuwa wanacheza mpira wa miguu.

Sasa tusubiri mdomo wa Mou kuwa kama mdomo wa bata.

Usikwazike Ntunzu na Mentor. Hongera kwa kuchukua ndoo "kivyovyote".

Lini nikuletee na zile mbili za Segerea ili iwe Quadruple?

Nasubiri hapa wapenzi wa wacheza rugby watakavyonisulubu. LOL.


Hahaha Leo ni sherehe Mkuu sijali waboaji wanasema nini.....

Asante sn kwa hongera zake Mkuu ndio maana nilikuita sasa subiri uje usulubuwe lol.
 
Hahaha Leo ni sherehe Mkuu sijali waboaji wanasema nini.....

Asante sn kwa hongera zake Mkuu ndio maana nilikuita sasa subiri uje usulubuwe lol.
Palace clearly felt Hazard made the most of slight contact - which he certainly did - bbc

Ntuzu nimejihakikishia kuwa kweli mmenunua ushindi.

Hazards amedive tena leo. Nimeangalia replay mara 273 na nakupa assignment angalia hiyo replay na rudi utoe ushuhuda.

Mwamuzi amejishindia jackpot kwa kuibeba "boring boring Chelsea".

'Palace fans in no doubt about the pen. “Dive in a minute” they sing when Hazard gets the ball.'

Read more: Chelsea 1-0 Crystal Palace: Premier League final score sees Blues crowned champions following Eden Hazard strike | Daily Mail Online


John Terry fortunate not to concede spot-kick following handball


Angalia highlights hapa: link VIDEO Chelsea 1 – 0 Crystal Palace Highlights - FootyRoom

 
Palace clearly felt Hazard made the most of slight contact - which he certainly did - bbc

Ntuzu nimejihakikishia kuwa kweli mmenunua ushindi.

Hazards amedive tena leo. Nimeangalia replay mara 273 na nakupa assignment angalia hiyo replay na rudi utoe ushuhuda.

Mwamuzi amejishindia jackpot kwa kuibeba "boring boring Chelsea".

'Palace fans in no doubt about the pen. “Dive in a minute” they sing when Hazard gets the ball.'

Read more: Chelsea 1-0 Crystal Palace: Premier League final score sees Blues crowned champions following Eden Hazard strike | Daily Mail Online


John Terry fortunate not to concede spot-kick following handball


Angalia highlights hapa: link VIDEO Chelsea 1 – 0 Crystal Palace Highlights - FootyRoom


Hayo yako tu si na shampeni saiz
 
mbingunikwetu
wewe ni mgeni hapa?Maana wakati Chelsea miaka yote inasua sua enzi za kocha Grant na Mateo sikuwahi kukuona,hata wakati wa mwanzo wa msimu huu kama kipigo cha Tottenham sikuwahi kukuona

Ni wa zamani ulio badili jina?Maana nimeanza kukuona baada ya ubingwa!
Wapi nguli agosti 8?
 
Last edited by a moderator:
mbingunikwetu
wewe ni mgeni hapa?Maana wakati Chelsea miaka yote inasua sua enzi za kocha Grant na Mateo sikuwahi kukuona,hata wakati wa mwanzo wa msimu huu kama kipigo cha Tottenham sikuwahi kukuona

Ni wa zamani ulio badili jina?Maana nimeanza kukuona baada ya ubingwa!
Wapi nguli agosti 8?

Sijaanza kuonekana baada ya ubingwa, bali kitambo kidogo, ila jamvini nimeingia msimu huu lakini mimi ni mwenyeji wa darajani wa muda mrefu tu kabla hata Abramovich hajainunua timu.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom