mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,910
- 18,558
Leo ni siku ya msiba kwa wapenzi wa mpira wa miguu. Timu ambayo imegeuza mpira wa miguu kuwa rugby na mieleka na pia ku-pack basi kuwa ndio mbinu ya ushindi ndio imenunua ubingwa kwa bahasha.
Kwa wale wanaopenda timu inayocheza rugby na mieleka kwenye ligi ya mpira wa miguu nimpeni hongera kwa kufanikiwa kuharibu utamu wa mpira wa miguu.
Tufurahi pamoja na kuipongeza timu ya mieleka kwa kuhadaa wapenzi wa mpira kuwa wanacheza mpira wa miguu.
Sasa tusubiri mdomo wa Mou kuwa kama mdomo wa bata.
Usikwazike Ntunzu na Mentor. Hongera kwa kuchukua ndoo "kivyovyote".
Lini nikuletee na zile mbili za Segerea ili iwe Quadruple?
Nasubiri hapa wapenzi wa wacheza rugby watakavyonisulubu. LOL.
Pole! Angalau umekuwa mbunifu wa kushughulikia maumivu yako yaliyotokana na kushindwa kwa timu yako kukupa furaha! Maneno yako ni symptoms ya frustration! na wivu ambao huna jinsi ya kuuficha! Hongereni wazee wa possession! (possession of failure!)