Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wakuu wa Stamford Bridge!!

Nachukua fursa hii kuwapa Hongera kwa kufanikiwa kutwaa Ubingwa leo hii, Hongereni Sana!!Tulianza pamoja Mmemaliza Mabingwa, Mlistahili, Hongereni Sana Chelsea Football Club:yo:!!

FAIR PLAY.........

Tukutane tena kwenye mbio mpya Next Season
 
CEFyAgMWoAAiV4f.jpg:large
 
Ngoja nisiwaharibie sherehe hapa...lakini there is only 1 and only the BOSS of EPL. He is now retired.

Maureen is better, but not the best. To be the best he should stay longer in the EPL and do what the BOSS did.

hahahaha!!! Subiri utakavyorushiwa mawe sasa.....
 
Kwahiyo Loserfools watawapa guard of honour 
we acha kabisa hayo maneno.liverpool na chesi wapi na wapi?haya maneno muongee na wenzenu fulham,qpr,leicester nk nk nk.we are world classic mkuu.REAL MADRID,JUVENTUS,MAN U,PSG,MILAN,BARCA,YNWA,BAYERN.etc etc etc ndo pananoga tukianza kubishana.NOT BLUES.ila congratulation
 
am sooo happy!! mimi ni shabiki wa kweli! my son is 10 months old, alipozaliwa tu, nilimuita eden,, eden,, for a reason. long live eden, long reign chelsea. nawapenda wote!! tusker bariidiii tafadhali
 
Ngoja nisiwaharibie sherehe hapa...lakini there is only 1 and only the BOSS of EPL. He is now retired.

Maureen is better, but not the best. To be the best he should stay longer in the EPL and do what the BOSS did.


That one he is the boss for you but for us Mourinho is the boss though he has got shorty time in EPL.
 
we acha kabisa hayo maneno.liverpool na chesi wapi na wapi?haya maneno muongee na wenzenu fulham,qpr,leicester nk nk nk.we are world classic mkuu.REAL MADRID,JUVENTUS,MAN U,PSG,MILAN,BARCA,YNWA,BAYERN.etc etc etc ndo pananoga tukianza kubishana.NOT BLUES.ila congratulation

Kajifunze kuandika kwanza chifu 👊🏿
 
Pongezi zangu za dhati kwenu Chelsea fans

Sasa naona ile pita pita ya Ntuzu Kule jukwaani kwetu itaisha ila usipotee sana maana hatujamalizana na wewe na ni lazima tuwafunge
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom