Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mi namtizama tu ujue.....maana mi naogopa nikianza kumpa zake ataninunia....na Mimi kununiwa na everlenk naona km adhabu lol.

We mpe tu uwezavo.
Hahahaha!!! Mimi ninune wakati nakuja kuchukua heshima zangu hapo......mimi naona ndo nyie muda si mrefu mtaninunia..... b5-click anatamani hata anipige ngumi hapo alipo..... Lol usinichukie mpendwa wangu.
 
Last edited by a moderator:
Hahahaha!!! Mimi ninune wakati nakuja kuchukua heshima zangu hapo......mimi naona ndo nyie muda si mrefu mtaninunia..... b5-click anatamani hata anipige ngumi hapo alipo..... Lol usinichukie mpendwa wangu.


Mmmmh umeona kikosi kinachotakiwa kucheza?

Hebu niambie mtakatiza wapi?

Jmosi saa moja usiku tunakwenda kudhihirisha dunia kua sisi ni timu bora England....
 
Last edited by a moderator:
Mmmmh umeona kikosi kinachotakiwa kucheza?

Hebu niambie mtakatiza wapi?

Jmosi saa moja usiku tunakwenda kudhihirisha dunia kua sisi ni timu bora England....

Nyie pangeni muwezavyo ila kipigo halikwepeki lol..... Hata baba yako Mou analijua hilo ndo maana akasema itakuwa ni mechi ngumu sana.......
 
Nyie pangeni muwezavyo ila kipigo halikwepeki lol..... Hata baba yako Mou analijua hilo ndo maana akasema itakuwa ni mechi ngumu sana.......


Uzuri ni kwamba tunatambua kua ili tuwe mabingwa lazima tuwafunge nyie na gunners....yani vyovyote vile mtakavo kuja kipondo kiko pale pale....ata km baba yangu Mou kasema mchezo utakua mgumu...ni kwamba mtaleta usumbufu kidogo lkn sisi tumeshaziba mianya yoote ya kupitisha hilo shetani lenu.

Siku zina yoyoma.... Leo j5 ni kitambo kidogo tu ngoma inakua uwanjani.:thumbup:
 
11126737_1382618575111688_7983691181501825977_n.jpg


THE NEW LIKER.... #NEYMAR
 
Uzuri ni kwamba tunatambua kua ili tuwe mabingwa lazima tuwafunge nyie na gunners....yani vyovyote vile mtakavo kuja kipondo kiko pale pale....ata km baba yangu Mou kasema mchezo utakua mgumu...ni kwamba mtaleta usumbufu kidogo lkn sisi tumeshaziba mianya yoote ya kupitisha hilo shetani lenu.

Siku zina yoyoma.... Leo j5 ni kitambo kidogo tu ngoma inakua uwanjani.:thumbup:

:thumbup: hiyo mechi itakuwa ni mechi ya kukata maneno...........
 
Mi namtizama tu ujue.....maana mi naogopa nikianza kumpa zake ataninunia....na Mimi kununiwa na everlenk naona km adhabu lol.

We mpe tu uwezavo.

Haaaaaah... Kumbe ananunaga pia!? Sio vizuri hivo mama

Hahahaha!! Yaani nyie mtupe nafasi nzuri kwenye hilo ghetto lenu tuwaonyeshe mpira unachezajwe.....msifanye hujuma zozote za brown envelope wala nini hata nguvu ya pesa hata sisi tunayo .....lol
Mna pesa sawa.. Sisi tuna pesa na abramoney

Mcheza kwao hutunzwa.. Bingwa lazima alindweeeee

Hahahaha!!! Mimi ninune wakati nakuja kuchukua heshima zangu hapo......mimi naona ndo nyie muda si mrefu mtaninunia..... b5-click anatamani hata anipige ngumi hapo alipo..... Lol usinichukie mpendwa wangu.

Aaah sikupigi ngumi Mimi... Labda zile njia nyingine

Na jmosi nakutoa machozi kwa kuchukua point 3
 
Last edited by a moderator:
Mentor Ntuzu b5-click na Manumbu, how do you plan on stopping Red Devils' left wing of Young and Blind?
Maana Man Utd huwa wanachezesha kigodoro upande huo wa uwanja (waulizeni City) na kama sikosei match yenu ya Spurs mliyokula bao 5, magoli kama 4 yalipitia upande huo (kulia kwenu kwa Ivanovic na Cahili) sasa what are the plans Wakuu?
 
Last edited by a moderator:
Haaaaaah... Kumbe ananunaga pia!? Sio vizuri hivo mama


Mna pesa sawa.. Sisi tuna pesa na abramoney

Mcheza kwao hutunzwa.. Bingwa lazima alindweeeee



Aaah sikupigi ngumi Mimi... Labda zile njia nyingine

Na jmosi nakutoa machozi kwa kuchukua point 3


Ana nuna sn huyo wewe ulikua hujui? Na kumfanya afurahi mpk umtajie jina la bibi Yake....wewe utamjulia wapi nyanya ake? Pole...

Muulize BAK anajua vzr sn.
 
Last edited by a moderator:
Haaaaaah... Kumbe ananunaga pia!? Sio vizuri hivo mama


Mna pesa sawa.. Sisi tuna pesa na abramoney

Mcheza kwao hutunzwa.. Bingwa lazima alindweeeee



Aaah sikupigi ngumi Mimi... Labda zile njia nyingine

Na jmosi nakutoa machozi kwa kuchukua point 3

Haya bana ila kununa Ntuzu ananisingizia...... Mgeni ni dawa subiri hiyo jmos nikupe dawa ya kuchukua EPL vizuri japokuwa ni chungu sana ila ndo ponapona yako......
 
Last edited by a moderator:
Mentor Ntuzu b5-click na Manumbu, how do you plan on stopping Red Devils' left wing of Young and Blind?
Maana Man Utd huwa wanachezesha kigodoro upande huo wa uwanja (waulizeni City) na kama sikosei match yenu ya Spurs mliyokula bao 5, magoli kama 4 yalipitia upande huo (kulia kwenu kwa Ivanovic na Cahili) sasa what are the plans Wakuu?

Mourinho karibu sn Mkuu...na hongera kwa ushindi mfinyu Wa juve Jana dhidi ya Monaco..najua ukiingia ktk anga zao huko France utapata shida ingawa najua juve wakiwa away hua wazuri kuliko nyumbani na hasa baada ya kupitia mijanda ya video ya hii first leg...lkn ngoma bado ni ngumu sn Mkuu.

Mkuu kuna maelezo mengi hapa nyuma tumetoa tangu juzi ya namna ya kuizuia ManU... Labda niseme kitu kimoja ManU sio km inacheza upande mmoja tu...inacheza pande zote...na sisi tumejaribu kupanga na kuona ni namna gani tunaweza kuwazuia hawa kwanza alafu tuwafunge....

Unaweza kupitia hoja hapo nyuma ziko nyingi sn...
 
Last edited by a moderator:
Mourinho karibu sn Mkuu...na hongera kwa ushindi mfinyu Wa juve Jana dhidi ya Monaco..najua ukiingia ktk anga zao huko France utapata shida ingawa najua juve wakiwa away hua wazuri kuliko nyumbani na hasa baada ya kupitia mijanda ya video ya hii first leg...lkn ngoma bado ni ngumu sn Mkuu.

Mkuu kuna maelezo mengi hapa nyuma tumetoa tangu juzi ya namna ya kuizuia ManU... Labda niseme kitu kimoja ManU sio km inacheza upande mmoja tu...inacheza pande zote...na sisi tumejaribu kupanga na kuona ni namna gani tunaweza kuwazuia hawa kwanza alafu tuwafunge....

Unaweza kupitia hoja hapo nyuma ziko nyingi sn...

Unaona ushakuwa jeuri kama baba yako.... Toa maelezo usimpe mkubwa wako kazi ya kutafuta tafuta mafail humu bana, Mou mwenyewe keshazeeka hata macho hayaoni vizuri ndo maana yuko na watu wazima wenzie kina Juve.... Lol
 
Last edited by a moderator:
Unaona ushakuwa jeuri kama baba yako.... Toa maelezo usimpe mkubwa wako kazi ya kutafuta tafuta mafail humu bana, Mou mwenyewe keshazeeka hata macho hayaoni vizuri ndo maana yuko na watu wazima wenzie kina Juve.... Lol

Ahsante everlenk, anadhani na mie kijana mwenzake wa Chelsea nianze kupekua mafaili yao. Ntuzu mbona swali rahisi sana, mnawasimamishaje Blind na Young?
 
Last edited by a moderator:
PATRICK BAMFORD: Chelsea open contract talks after his improved performance

- Chelsea want to tie him with the club
- talks include wage improvement
- current contract ends next year


2797D82000000578-3039669-image-m-6_1429095125674.jpg


That's him...


279226D500000578-0-image-a-2_1429092965326.jpg


On loan at Middlesbrough...

2502074200000578-3039669-image-a-4_1429094546251.jpg


17 goals so far...


1B7CD254000005DC-3039669-image-a-7_1429095622938.jpg


at Derby...

 
MEANWHILE: Baada ya kuumia, mwanetu karudi kwa dokta Eva kwa matibabu

2775E00000000578-0-image-a-13_1429034050352.jpg


Victor Moses


27754AC900000578-0-image-a-12_1429034046778.jpg


Aliumia wakati wa mechi kati yao (Stoke City) na Westham United


 
Ahsante everlenk, anadhani na mie kijana mwenzake wa Chelsea nianze kupekua mafaili yao. Ntuzu mbona swali rahisi sana, mnawasimamishaje Blind na Young?


Okay....

Chelsea ule upande Wa Willian kuna uwezekano mkubwa akapangwa Ramires kumsaidia Ivanovic...na pake katikati kuna uwezekano mkubwa Matic akapewa Zouma au Obi kuweka nguvu hapo kati kutokana na viungo Wa ManU Herrera, Fellaini na Carrick kua vzr kwa sasa.

Upande Wa kushoto atasima Azpilicueta peke Yake na mbele Hazard nafikiri Juan Mata hatoweza kumsumbua Azpilicueta na pia Anthonio Valencia hatoweza kupanda mbele sn hasa kwa kumhofia Eden Hazard..

Na nyuma ya Remy au Drogaba atasimama Fabregas...

Na centre back watakua Cahill Na Terry.

Mpk hapa unaweza kuona ni namna gani tutawadhibiti hawa watu kila idara.

Sub tunaweza kua na Willian, Oscar, Philip Luis Na Obi Na Cech Drogba au Remy..

Hapa utaona tuna uhai ata ktk sub.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom