Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa kiwango chenu cha sasa cha kutegemea keeper wa Stoke *ajifunge* ndiyo mpate points 3 sidhani kama utamuweza Arsenal huyu


Kiwango kibovu wapi Malafyale? Stoke city km kipa wao alifanya kosa ata kipa wetu alifanya pia!

Alafu km Arsenal kawafunga nyie timu mbovu na kocha mbovu sisi hataweza kabisa! Yani hilo sahau kabisa Malafyale.

Utakuja kushangaa ninavyoipiga hiyo Arsenal!
 
Man City wameliachia kombe rasmi baada ya kuchapwa na kibonde jana. Bado mechi 2 tu kombe litue Darajani. Viva The Blues (The Champions)!
 
Man City wameliachia kombe rasmi baada ya kuchapwa na kibonde jana. Bado mechi 2 tu kombe litue Darajani. Viva The Blues (The Champions)!

Mkiongeza points 6 mnakuwa mabingwa mkiwa na mechi 6 mkononi kwa maana hiyo wa pili mmemzidi points 18?

Hesabu za mashabiki wa Chelsea ehehehehehe
 

Premier League Table.

10408919_981960031828757_8391309589919940753_n.png
 
Wakuu game yetu na QPR tunatakiwa kushinda kwa hali yoyote ile ili kujiweka vzr kukabiliana na hawa washindani wetu Arsenal na ManU waliochomoza ktk kuwania ubingwa!

Biashara ya Man City imeshakwisha hana chake tens.
 
Exactly kiongozi, Gabriel, Koscielny, Per, Chambers, Gibbs, Monreal, Berellin and the-fit-again- Debouchy. See you at the Emirates brother!!


Hahaha

Azzp, Ivanovic, Terry, Cahill. Zouma, Matic, Obi,

Willian, Hazard, Remy.

Hapa Mkuu ni mabasi matatu.
 
Hahaha

Azzp, Ivanovic, Terry, Cahill. Zouma, Matic, Obi,

Willian, Hazard, Remy.

Hapa Mkuu ni mabasi matatu.


Hapa hamna timu, wote hawa miguu imechoka..subiri utathibitishiwa siku ya siku.
 
Exactly kiongozi, Gabriel, Koscielny, Per, Chambers, Gibbs, Monreal, Berellin and the-fit-again- Debouchy. See you at the Emirates brother!!

Hapo naona tu tukipewa penalty za bure mkuu...wa kumkaba Hazard yukwapi? Willian na Ivanovic kule kulia? Oscar na Fab hapo kati? Droba/Remy??! Sijuiiiiiiiiiiii....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom