Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

wakuu hivi huyu dogo anachaza namba ngapi ? atakuwa anabadilishana na nani pale the bluesp
 
wakuu hivi huyu dogo anachaza namba ngapi ? atakuwa anabadilishana na nani pale the bluesp



Huyu ni winga wa kulia au ni mchezaji anweza kucheza pembeni......ktk timu yetu atakua anapishana na Hazar na Willian........
 
Huyu ni winga wa kulia au ni mchezaji anweza kucheza pembeni......ktk timu yetu atakua anapishana na Hazar na Willian........

Mlimzuia Salah asije Liverpool na juzi mmemtupia virago aondoke!Hata huyu Cuadrado nae mwakani ataondoshwa tu!
 
Atabadilishana na Willian sababu hiyo ndio nafasi ya Cuadrado


Wakati mwingine watu hawajui nafasi za wachezaji ndio maana wanachangia tu kwa kusukumwa na maneno yao.


Salah na Schullre viwango vyao vilikua havikui na ndio maana Mou amekua akiwachezesha kila siku ktk upande wa wings Hazard na Willian tu kwasababu hawa wengine hawaridhishi.....lkn Cuadrado anaonekana ni mzuri ktk hizo nafasi hivo tunaweza tukawa tumepata mbadala mzuri wa hawa watu tofauti Salah na Schullre.......kwahio Malafyale anaposema atamuweka bench nani anakua anakosea ni bora akauliza nafasi anayocheza huyo mchezaji kwanza then ndio ukauliza na hilo swali lako..
 
Last edited by a moderator:
Atabadilishana na Willian sababu hiyo ndio nafasi ya Cuadrado

Mpira wa kutegemea kucheza hadi Willian aumie ndiyo umemfanya aje Chelsea?

Kumbuka Salah mlikuwa mnamuita "Egyptian Messi" ehehehehe!Biashara ya January 2016 Cuadrado bye bye
 
Wakati mwingine watu hawajui nafasi za wachezaji ndio maana wanachangia tu kwa kusukumwa na maneno yao.


Salah na Schullre viwango vyao vilikua havikui na ndio maana Mou amekua akiwachezesha kila siku ktk upande wa wings Hazard na Willian tu kwasababu hawa wengine hawaridhishi.....lkn Cuadrado anaonekana ni mzuri ktk hizo nafasi hivo tunaweza tukawa tumepata mbadala mzuri wa hawa watu tofauti Salah na Schullre.......kwahio Malafyale anaposema atamuweka bench nani anakua anakosea ni bora akauliza nafasi anayocheza huyo mchezaji kwanza then ndio ukauliza na hilo swali lako..

Namjua Cuadrado na nafasi yake toka yupo Lecce acha sasa Fiorentina liwango chake kimekua!

Kuja kwake Chelsea ni kugombea namba na Willian jambo ambalo hawezi fanikiwa
 
Last edited by a moderator:
10435483_346633785543240_8546700071691749564_n.jpg


respect
 
Namjua Cuadrado na nafasi yake toka yupo Lecce acha sasa Fiorentina liwango chake kimekua!

Kuja kwake Chelsea ni kugombea namba na Willian jambo ambalo hawezi fanikiwa

Kaka not long ago mlitushauri tu rotate wachezaji wanachoka na ndio maana tumepigwa na Newcastle etc. sasa watu wa kuliwezesha hilo kwa ufanisi ule ule wameingia mmeanza kubadili mwelekeo wa maneno. Tusubiri weekend haziko mbali mbona. Mbivu na bichi zitakuwa hadharani.
 
THE PREMIER LEAGUE SQUAD NUMBER LIST IS



1. Petr Cech

2. Branislav Ivanovic

3. Filipe Luis

4. Cesc Fabregas

7. Ramires

8. Oscar

10. Eden Hazard

11. Didier Drogba

12. John Mikel Obi

13. Thibaut Courtois

18. Loic Remy

19. Diego Costa

21. Nemanja Matic

22. Willian

23. Juan Cuadrado

24. Gary Cahill

26. John Terry

28. Cesar Azpilicueta


Under-21 Players

5. Kurt Zouma

6. Nathan Ake

31. Andreas Christensen

32. Jeremie Boga

33. Mitchell Beeney

35. Dominic Solanke

36. Ruben Loftus-Cheek

37. Isaiah Brown

46. Jamal Blackman



UEFA CHAMPIONS LEAGUE SQUAD NUMBERS LIST



1. Petr Cech

2. Branislav Ivanovic

3. Filipe Luis

4. Cesc Fabregas

5. Kurt Zouma

7. Ramires

8. Oscar

10. Eden Hazard

11. Didier Drogba

12. John Mikel Obi

13. Thibaut Courtois

18. Loic Remy

19. Diego Costa

21. Nemanja Matic

22. Willian

23. Juan Cuadrado

24. Gary Cahill

26. John Terry

28. Cesar Azpilicueta

37. Isaiah Brown



B List

6. Nathan Ake

31. Andreas Christensen

32. Jeremie Boga

33. Mitchell Beeney

35. Dominic Solanke

36. Ruben Loftus-Cheek

47. Jamal Blackman
 
Kama inavyoptk ktka website ya chelsea
The regulations for each squad composition differ slightly between the two competitions and are outlined below.

New-signing Juan Cuadrado is eligible for both squads as his European appearances for Fiorentina this season were in the Europa League.

For the knockout stage of the Champions League a club may register a maximum of three new players, with one able to have played in a UEFA competition group stage match for another club provided that the player has not been fielded in the Champions League.
 
Mpira wa kutegemea kucheza hadi Willian aumie ndiyo umemfanya aje Chelsea?

Kumbuka Salah mlikuwa mnamuita "Egyptian Messi" ehehehehe!Biashara ya January 2016 Cuadrado bye bye

Unaweza ukashangaa huyo Willian mkuu, ndiyo anaanza kula benchi.....mlikuwa na Torres, Mata na wengineo Mourinho aliona sio cup of tea yake akawa anawasugua benchi, leo hii Mata midfield playmaker wa man utd, au angalia jinsi Torres alivyo inform Althetico Madrid
 
Atabadilishana na Willian sababu hiyo ndio nafasi ya Cuadrado

Si kwamba atabadilishana nae ila ni kwamba Willian bench limesha muhusu sana, kiwango cha cuadrado ni kikubwa kuzidi cha willian mara kibao. Pole sana willian labda mwisho wa msimu ukimbilie liverpool
 
Wakati mwingine watu hawajui nafasi za wachezaji ndio maana wanachangia tu kwa kusukumwa na maneno yao.


Salah na Schullre viwango vyao vilikua havikui na ndio maana Mou amekua akiwachezesha kila siku ktk upande wa wings Hazard na Willian tu kwasababu hawa wengine hawaridhishi.....lkn Cuadrado anaonekana ni mzuri ktk hizo nafasi hivo tunaweza tukawa tumepata mbadala mzuri wa hawa watu tofauti Salah na Schullre.......kwahio Malafyale anaposema atamuweka bench nani anakua anakosea ni bora akauliza nafasi anayocheza huyo mchezaji kwanza then ndio ukauliza na hilo swali lako..

Cuadrado anaonekana mzuri wakati hata hajacheza Chelsea?
Hata Schurle na Salah walionekana hivyo hivyo Morinyo akawasajili. Strength ya Cuadrado kwa Willian ni kuwadefend ndio maana anaweza cheza kama beki wa kulia au wing back tofauti na Willian. Jose alichemsha kumsajili Salah sio aina ya wachezaji anaowataka Liverpool palikuwa panamfaa , Schurle still ni mchezaji mzuri rekodi yake iko wazi, siku hizi Jose anangalia FFP isimbane na tangu amerudi nampa A kwenye hilo
 
Last edited by a moderator:
Chelsea release Premier League, Champions League squad lists

The Premier League squad includes the following, with U21 players in italics:

Petr Cech, Branislav Ivanovic, Filipe Luis, Cesc Fabregas, Ramires, Oscar, Eden Hazard, Didier Drogba, John Mikel Obi, Thibaut Courtois, Loic Remy, Diego Costa, Nemanja Matic, Willian, Juan Cuadrado, Gary Cahill, John Terry, Cesar Azpilicueta, Kurt Zouma, Nathan Ake, Andreas Christensen, Jeremie Boga, Mitchell Beeney, Dominic Solanke, Ruben Loftus-Cheek, Isaiah Brown, Jamal Blackman

The Champions League squad is as follows:

A List: Petr Cech, Branislav Ivanovic, Filipe Luis, Cesc Fabregas, Kurt Zouma, Ramires, Oscar, Eden Hazard, Didier Drogba, John Mikel Obi, Thibaut Courtois, Loic Remy, Diego Costa, Nemanja Matic, Willian, Juan Cuadrado, Gary Cahill, John Terry, Cesar Azpilicueta, Isaiah Brown

B List: Nathan Ake, Andreas Christensen, Jeremie Boga, Mitchell Beeney, Dominic Solanke, Ruben Loftus-Cheek, Jamal Blackman
 
pamoja na kuondoka, Schurrle full mapenzi na shukrani kwa Chelsea. this is what a gentleman does. nimempenda huyu mzungu!!!



Former Chelsea player Andre Schurrle says he has no regrets about leaving Stamford Bridge to join Wolfsburg in the January transfer window, although he admitted he had wanted to stay at the English club.

"The last weeks or last month I tended towards changing something because I wanted to do what is fun for me and that is to play football. I could only do it briefly at Chelsea in the past weeks," he told a news conference in Germany.

"I will never regret this [Chelsea]. I still love this club, the staff are amazing. I developed my game, I improved myself there. I was a different player when I came to Chelsea. It helped me a lot."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom