Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
nyie ndio mnaoongoza kwa kutukana watu wapoongea msichopenda kusikia.... Ntuzu mimi juzi juzi tu niliwatolea uvivu maanake nilijaribu kuwa mstaarabu kuna wajuaji wakaanza kunitukana.
Kiongozi kule watu ni wehu wanafikia hatua ya kutukanana wao kwa wao we unafikiri mchezo mkuu? ni huyu tu ndio yuko huru na baadhi ya washikaji mnaweza mkapiga nao story kidogo lkn wengine ni wehu kule.
Last edited by a moderator: