Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

yaani nimetembelea thread ya man u, arsenal, na lvpool hazitembea kabisa yaani mtu wa kuingia thread ya man u decembet 26 ndo unakuta coment mbili ya leo ,usiombe timu yako ipoteze muelekeo . Hongera wana chelsea members kila siku jukwaa letu watu wanaweka coments za kutosha.
 
Cuadrado Kashatua Darajani toka Fiorentina FC kwa ada ya £23.3mil

J
uan Guillermo Cuadrado Bello is a Colombian footballer who played primarily as a forward for Fiorentina and the Colombian national team. He is known for his direct style of play, including pace on and off the ball, as well as dribbling skills.





_80686237_cuadrado.jpg
120897.jpg
432245_heroa.jpg
 
yaani nimetembelea thread ya man u, arsenal, na lvpool hazitembea kabisa yaani mtu wa kuingia thread ya man u decembet 26 ndo unakuta coment mbili ya leo ,usiombe timu yako ipoteze muelekeo . Hongera wana chelsea members kila siku jukwaa letu watu wanaweka coments za kutosha.

huku chama lipo active muda wote.
 
Some things are blessings in disguise. good blue people mark my words. na zitadhihirika kuanzia kesho!!! Aluuta Continua. Namuona Remy akiwa na hasira na usongo wa kuprove a point and critics very wrong


Mkuu Manumbu unajua lengo la vyombo vya habari na wale wasio ipenda Chelsea wamezua hili jambo ili timu pamoja na Kocha wasipate muda mzuri wa kujiandaa na mchezo wa kesho kwasababu wameleta kitu cha kuwavuruga kabisa kwa kuleta hii kesi na vyombo va habari ndo vinakomalia kabisac.....yani hapa timu km haiko makini watashindwa kujiandaa vzr. Lkn namkubari sn Mou hajataka kuongea sn juu ya hili hii ikiwa na maana kwamba amejikita zaidi ktk maandalizi ya mchezo wa kesho na hii inatokana na kiwango kikubwa cha Chelsea ilichoonyesha siku ya J4. maana ule mpira ulikua ni wa hali ya juu tangu ligi ya EPL ianze.

Tutakosa huduma ya Fabregas kesho pamoja na Costa lkn Drogba Remy watapokezana hiyo nafasi....Nafasi ya Faby atachza Ramires.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Manumbu unajua lengo la vyombo vya habari na wale wasio ipenda Chelsea wamezua hili jambo ili timu pamoja na Kocha wasipate muda mzuri wa kujiandaa na mchezo wa kesho kwasababu wameleta kitu cha kuwavuruga kabisa kwa kuleta hii kesi na vyombo va habari ndo vinakomalia kabisac.....yani hapa timu km haiko makini watashindwa kujiandaa vzr. Lkn namkubari sn Mou hajataka kuongea sn juu ya hili hii ikiwa na maana kwamba amejikita zaidi ktk maandalizi ya mchezo wa kesho na hii inatokana na kiwango kikubwa cha Chelsea ilichoonyesha siku ya J4. maana ule mpira ulikua ni wa hali ya juu tangu ligi ya EPL ianze.

Tutakosa huduma ya Fabregas kesho pamoja na Costa lkn Drogba Remy watapokezana hiyo nafasi....Nafasi ya Faby atachza Ramires.
Ntuzu

Makosa afanye Costa lakini hutaki kukiri kuwa alifanya uharamia wa kimichezo. Ile aliyomfanyia Liverpool's Emre Can angefanyiwa Costa na mchezaji wa "L.Fools" Ntunzu ungetangaza "vita" na kuwa mnafanyiwa "campain" ya kunyang'anywa ubingwa "wa kufikirika".

Chelsea inacheza katika kiwango kikubwa kama wangekuwa wanacheza mieleka au rugby lakini mpira wa chelsea si wa kiwango hicho inachokisifia mkuu.

Leo Beyern ya Gordiola imefungwa 4-1. Jitayarishe kisaikolojia kwa maumivu na kusononeka. kwa matokeo ya mechi ya kesho.
 
Cuadrado Kashatua Darajani toka Fiorentina FC kwa ada ya £23.3mil

J
uan Guillermo Cuadrado Bello is a Colombian footballer who played primarily as a forward for Fiorentina and the Colombian national team. He is known for his direct style of play, including pace on and off the ball, as well as dribbling skills.





_80686237_cuadrado.jpg
120897.jpg
432245_heroa.jpg

Ukiona Barca na Madrid HAWAMUHITAJI mchezaji toka America kusini basi jua ni wa KAWAIDA sana!

Cuadrado angekuwa anaujua destination yake ya pili ingkuwa kwanza Spain
 
ki msingi chelsea katika hali ya kupigwa vita kama hii ya sasa ndio huwa tunachomoka na ushindi tena wa 2-0....vyombo vya habari vya uingereza hasa hao sky sport ndio wenye kukomalia mambo......mbona hawazunguzii penati tulizokuwa tunanyimwa..leo tutaproove kwao na kwa wengine wote wenye kwenda kinyume na timu yetu teule chelsea...leo tutashinda tena vizuri mno....na baadaya dakika 90 kesho vyombo vyote vitageuka na kuanza kuandika ''no one can stop chelsea fc from being the champion........
 
mechi ngumu tulicheza jumanne na livefool..hii ya leo ni sawa na kula mana iliyokuwa ikishuhswa enzi za musa....
 
yaani nimetembelea thread ya man u, arsenal, na lvpool hazitembea kabisa yaani mtu wa kuingia thread ya man u decembet 26 ndo unakuta coment mbili ya leo ,usiombe timu yako ipoteze muelekeo . Hongera wana chelsea members kila siku jukwaa letu watu wanaweka coments za kutosha.

mimi ni mdau wa man utd....huwa siingii kule kupiga porojo kama hamna issue mpya huwa hatuchangii ndio style yetu unless litokee tukio.
 
ki msingi chelsea katika hali ya kupigwa vita kama hii ya sasa ndio huwa tunachomoka na ushindi tena wa 2-0....vyombo vya habari vya uingereza hasa hao sky sport ndio wenye kukomalia mambo......mbona hawazunguzii penati tulizokuwa tunanyimwa..leo tutaproove kwao na kwa wengine wote wenye kwenda kinyume na timu yetu teule chelsea...leo tutashinda tena vizuri mno....na baadaya dakika 90 kesho vyombo vyote vitageuka na kuanza kuandika ''no one can stop chelsea fc from being the champion........


Lucas na Jordan Henderson walistahili kupewa kadi a pili za njano na kupewa red card lkn Sky hawaongelei hilo nakumbuka mpk tunafunga goli kocha wa chelsea alikua akilalamika kwa kamisaa kuhusu kupewa kadi ya pili kwa Lucas ambayo ingemtoa nje.....lkn kwasababu watanagazaji wa Sky ni wanazi wa Liverpool ndio maana unaona kimya.
 
Ukiona Barca na Madrid HAWAMUHITAJI mchezaji toka America kusini basi jua ni wa KAWAIDA sana!

Cuadrado angekuwa anaujua destination yake ya pili ingkuwa kwanza Spain

Kweli kabisa mkuu ndo maana hata oscar willian wa kawaida, hahaha aisee maneno ya mkosaji bwana!!!!!
 
Mkuu Manumbu unajua lengo la vyombo vya habari na wale wasio ipenda Chelsea wamezua hili jambo ili timu pamoja na Kocha wasipate muda mzuri wa kujiandaa na mchezo wa kesho kwasababu wameleta kitu cha kuwavuruga kabisa kwa kuleta hii kesi na vyombo va habari ndo vinakomalia kabisac.....yani hapa timu km haiko makini watashindwa kujiandaa vzr. Lkn namkubari sn Mou hajataka kuongea sn juu ya hili hii ikiwa na maana kwamba amejikita zaidi ktk maandalizi ya mchezo wa kesho na hii inatokana na kiwango kikubwa cha Chelsea ilichoonyesha siku ya J4. maana ule mpira ulikua ni wa hali ya juu tangu ligi ya EPL ianze.

Tutakosa huduma ya Fabregas kesho pamoja na Costa lkn Drogba Remy watapokezana hiyo nafasi....Nafasi ya Faby atachza Ramires.

HIVI NI KWELI Ntuzu Costa hakufanya kosa lolote ila vyombo vya habari na wengineo wamezusha tu??? basi mna incompetent lawyers ambao wameshindwa kufight uzushi.....sijaona hio wala tukio lenyewe ila nashindwa kuamini kila mtu atakuwa anamchukia Costa au Chelsea kiasi hicho....kwa man utd fans kama ni kishabiki wangemtetea Costa maanake Liverpool wote ni maadui zetu balaa.
 
Last edited by a moderator:
HIVI NI KWELI Ntuzu Costa hakufanya kosa lolote ila vyombo vya habari na wengineo wamezusha tu??? basi mna incompetent lawyers ambao wameshindwa kufight uzushi.....sijaona hio wala tukio lenyewe ila nashindwa kuamini kila mtu atakuwa anamchukia Costa au Chelsea kiasi hicho....kwa man utd fans kama ni kishabiki wangemtetea Costa maanake Liverpool wote ni maadui zetu balaa.


Vyombo va habari vimelipoti sn juuy hili swala na mengi yamesemwa na wenye kumtetea Costa wamemtetea akiwamo Poul Schols na wenye kusema aadhibiwe wamesema na hukumu na adhabu imetolewa kilichobaki ni nikufocus mbele ktk mambo amayo yanayotukabili...lkn ktk ulimwengu wa uhuru wa maoni kila mtu anahaki ya kusema lile atakalo. lkn msimamo wa chelsea ni kwamba ile ilikua ni ajali ya kawaida kutokana na njisi move ilivokua na ndio maana Refa hakutoa au kufanya chochote kutokana na ile hali na pia Vombo vya habari kwa namna moja au ingine vimechangia ktk kuisukuma FA kuchukua maamuzi ktk hili swal......kwasababu vilikua vinatoa hukumu kabla ya FA kutoa hukumu.

Msimamo wa Chelsea ni kukaa kimya na kuendelea na mipango endelevu yote kwasababu wakithubutu kusema lolote juu ya FA au vombo va habri basi lazima washitakiwe tena na kupata adhabu au kutozwa faini.
 
Last edited by a moderator:
Swala la Costa halina umuhimu tena kwetu. Tunaangalia game ya jion hii. The blues haina mchezaji mmoja tu. Anapokosekn Hazard ndo huwa nna wasi wasi sn. Mwaka jn hawa tuliwapg pamoja na kutokuwa na mfungaji wa kuamnka, sasa kukosekn kwa Costa hakutunyimi ushind wa leo
 
Swala la Costa halina umuhimu tena kwetu. Tunaangalia game ya jion hii. The blues haina mchezaji mmoja tu. Anapokosekn Hazard ndo huwa nna wasi wasi sn. Mwaka jn hawa tuliwapg pamoja na kutokuwa na mfungaji wa kuamnka, sasa kukosekn kwa Costa hakutunyimi ushind wa leo

Tulikwenda Etihad bila Costa msimu uliopita bila ya Fabregas lkn tukawapiga hao City.............kukosekana hawa watu wawili hakutunyimi ushindi leo. Hii FA wameleta usumbufu wa mawazo tu ktk benchi la ufundi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom